Msaada, kiingereza kinanipa shida..

tindikalikali

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
4,854
Reaction score
1,129
wakuu mimi ni mhitimu wa chuo kikuu. Naweza kuandika vizuri hii lugha, ila shida inakuja kwenye kuongea...ni aibu kwangu na nimekosa kazi kama mbili kwa kushndwa kujieleza ipasavyo. Je inawezekana kujifunza kwa wakati huu? Je nitumie mbinu gani? Naomba mawazo yenu, nahitaji kujifunza kwa gharama yeyote.
 

Nitafute kuna ticha angu anafundisha kiingereza cha kuongea kwa bei powa ww tu kama upo siliazi nitafute ila kama upo dar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…