Msaada: kila asubuhi uume wangu unasimama hadi naumia

hali hiyo inawakuta watoto wa darasa la saba kama wewe,itaendelea kisha baadae itapotea ,ikiendelea zaidi muonyeshe na umwambie mama akupeleke hospitali

ahahahahaha kumbe humu adi watoto wapo,hilo jibu limekamilika
 
likate hilo dude mkuu linakusumbua bure!!
 
Tena unyooshe mikono yako miwili juu ukimshukuru mola wako kuna watu wanaitamani hiyo hali hawaipati.
 
Ni normal thing, ni indication uko active,huwa kuna hormone inaitwa cortisol inkuwa juu!shukuru mungu kwa hilo!
 
Muombe dada wa jirani akukande na maji baridi
 
Kuna dawa ya kuufanya usisimame , ukinywa utakuwa unalala moja kwa moja
 
mara umetahiriwa, mara unadinda kila ukinyya, mara unadinda ukiamka

hutu tutoto tukishaota vuzi ni tabu tupu

dogo kakojoe ulale usisumbue watu wakusindikize chooni usiku, utaishia kuwa punga hivihivi
 
mara umetahiriwa, mara unadinda kila ukinyya, mara unadinda ukiamka

hutu tutoto tukishaota vuzi ni tabu tupu

dogo kakojoe ulale usisumbue watu wakusindikize chooni usiku, utaishia kuwa punga hivihivi

ahahahahaha yani hili jukwaa. Hua ninaniongezea siku
 
Kwa dakika arobaini
 
Wadau:
Kila siku asubuhi nikiamka mgegedo wangu huwa unasimama hadi unakuwa mgumu sana halafu unauma sana, Hali hiyo hudumu kwa takribani dakika arobaini hivi halafu inaondoka, dawa Yake ni nini,
Nisaidieni wakuu

nikawaida kwa mwanaume kudindisha asbh, lskini kuwa makini pia kama inazd sana huwa ni dalilia ya sickle cell ambayo ungekuwa ushajua long time! worry out kijana ni kawaida
 
Wadau:
Kila siku asubuhi nikiamka mgegedo wangu huwa unasimama hadi unakuwa mgumu sana halafu unauma sana, Hali hiyo hudumu kwa takribani dakika arobaini hivi halafu inaondoka, dawa Yake ni nini,
Nisaidieni wakuu

Picha mkuu
 
Ndio kuvunja ungo kiume. omba wajomba wakucheze ngoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…