Umetafuta solution mkuu?
kuna watu humu madushe yanalala dolo tuu na pia hata kuingiza kwenye papuchi wanakuwa km wanachomekea shati.tafuta manzi au jiunge CHAPUTA
Umejibu vyema mkuu.1.wowa
2.avoid kibofu kisijae mkojo maana hii upelekee dushelele kusimama
Mwanzo wa balehe huambatana na Ndoto nyevu, ni kawaida mkuu ukioa italala tu Vuta muda umri usogeeWadau:
Kila siku asubuhi nikiamka mgegedo wangu huwa unasimama hadi unakuwa mgumu sana halafu unauma sana, Hali hiyo hudumu kwa takribani dakika arobaini hivi halafu inaondoka, dawa Yake ni nini,
Nisaidieni wakuu