Kwanini asizae? Kwani aliyemuunda mwanadamu hakuweka uchi mkononi ama usoni akaficha kwenye maporomoko ya udzungwa?
Mkiambiwa msitumie carolite mnakuwa wagumu!!ona sasa mpaka ngozi ya mwili wote ilishalainika.nenda kwa dr. Year.Asante ndugu nitajaribu kwenda hospital Ila naona aibu kumweleza daktari huku ananiangalia ndo mana nikaandika huku ili Kama kuna dawa nitumie mana ngozi ya mwili wangu wote ni laini sana huwa nahisi na huko ni kulaini pia hivyo Kama kuna dawa ya kupafanya pawe pagumu inaweza kunisaidia
Sijawahi tumia carolite naipenda rangi yanguMkiambiwa msitumie carolite mnakuwa wagumu!!ona sasa mpaka ngozi ya mwili wote ilishalainika.nenda kwa dr. Year.
Kwani umejaribu size tofauti tofaut?Habari zenu wataalamu wa jf
Mimi ni mgeni humu ndani naitwa Lilian nina miaka 25 nimejiunga humu ili niweze pata msaada kutokana na tatizo linalonisumbua sana kwa sasa ambalo ni hili kila ninaposex lazima nichanike ukeni sijawahi furahia kabisa sex na siipendi kwa sababu ya maumivu ninayosikia kila nikishiriki tendo hilo hamu naweza kuwa nayo na maji maji pia ninayo lakini uume ukiingia tu hata Kama ni Mdogo ntasikia maumivu na kuchanika
Nimeshatendwa mara nyingi sana lakini najua hilo ndo chanzo maana sipendi sex kabisa naombeni msaada wenu wa nini nifanye ili tatizo hili liishe maana natamani kupata mume lakini ntampata wapi atakaekubali kutosex mara kwa mara. Samahani kwa ujumbe mrefu Ila nimeelezea ili JF doctors muelewe namna ya kunisaidia.
Au unajisafisha sana kwa vitu vya kemikaliSijawahi tumia carolite naipenda rangi yangu
Kuna siku nilijifuta na taulo gumu baada ya kuoga nilipata michubuko wiki nzima maumivu hivyo huwa naogopa kupagusa au kupaka chochoteAu unajisafisha sana kwa vitu vya kemikali
Kubwa nilishakutana nayo niliumia zaidi za kawaida pia na niliumia piaKwani umejaribu size tofauti tofaut?
NachanikaUnachanika ama unachubuka?,maana ni vitu viwili tofauti..
Nichek private kuna dawa ya kutumiaHabari zenu wataalamu wa jf
Mimi ni mgeni humu ndani naitwa Lilian nina miaka 25 nimejiunga humu ili niweze pata msaada kutokana na tatizo linalonisumbua sana kwa sasa ambalo ni hili kila ninaposex lazima nichanike ukeni sijawahi furahia kabisa sex na siipendi kwa sababu ya maumivu ninayosikia kila nikishiriki tendo hilo hamu naweza kuwa nayo na maji maji pia ninayo lakini uume ukiingia tu hata Kama ni Mdogo ntasikia maumivu na kuchanika
Nimeshatendwa mara nyingi sana lakini najua hilo ndo chanzo maana sipendi sex kabisa naombeni msaada wenu wa nini nifanye ili tatizo hili liishe maana natamani kupata mume lakini ntampata wapi atakaekubali kutosex mara kwa mara. Samahani kwa ujumbe mrefu Ila nimeelezea ili JF doctors muelewe namna ya kunisaidia.