Norshad
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,211
- 12,538
Asallam aleykum, ndugu zangu..
Mimi nina tatizo, na tatizo hili lanamsibu Mke wangu,
Mkewangu kila apatapo ujauzito ifikapo miezi mitatu na kuendelea huwa anatokwa na damu puani, leo hii pia hali hiyo imejirudia, naomba msaada kwa yoyote anayefahamu hili tatizo na suluhisho lake anifahamishe.
Natanguliza shukrani
Mimi nina tatizo, na tatizo hili lanamsibu Mke wangu,
Mkewangu kila apatapo ujauzito ifikapo miezi mitatu na kuendelea huwa anatokwa na damu puani, leo hii pia hali hiyo imejirudia, naomba msaada kwa yoyote anayefahamu hili tatizo na suluhisho lake anifahamishe.
Natanguliza shukrani