AfricaUnited
JF-Expert Member
- Jul 31, 2010
- 2,367
- 1,293
Habari ndugu zangu wa JamiiForums,
Nilikuwa naomba msaada wa kujua moja mbili tatu ya biashara na ukulima wa maharage machanga, naomba kujua mfano kwa upande wa Arusha nasikia kuna makampuni yanayoingia mkataba na wakulima na kununua hayo maharage, ningependa kuyafahamu.
Mwisho naomba kujuzwa breaf ya hichi killimo
Nilikuwa naomba msaada wa kujua moja mbili tatu ya biashara na ukulima wa maharage machanga, naomba kujua mfano kwa upande wa Arusha nasikia kuna makampuni yanayoingia mkataba na wakulima na kununua hayo maharage, ningependa kuyafahamu.
Mwisho naomba kujuzwa breaf ya hichi killimo