Msaada kilimo cha Matikiti

popo1986

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2014
Posts
1,120
Reaction score
372
Wana JF kutokana na ukali wa maisha nimeamua kwa asilimia zote nijikite katika swala zima la kilimo cha matikiti maji.........ndugu zangu wapendwa naomba msaada wapi panafaa kwa kilimo hicho ambako pia naweza nikapat shamba ili nifanye kilimo...naomba msaada sada kama nitapata namba ya simu ya mtu ambae anajihusisha na kilimo hiki nita shukuru sana ...............
 

Ingia Facebook search page ya RIJK ZWAAN Tanzania like tujadili zaidi. kilimo ni biashara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…