Tanzanite klm
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 478
- 408
nimesikia eti gunia la debe 6, linaenda mpka laki 5Ni aina flani ya maharage ambayo ni chakula kikuu cha wakikuyu.na soko lake ni kubwa na hununuliwa na wakenya sana,gunia lake likishuka bei sana ni laki na ishirini.hulimwa sana Manyara na arusha.