Msaada kilimo cha nyanya

Msaada kilimo cha nyanya

mkuu 2

New Member
Joined
Aug 30, 2019
Posts
3
Reaction score
2
Ndugu zangu nimeweza kulima nyanya, ziliota vizuri na nimejitahidi kuzihudumia dawa aina zote; yaani yakuzuia athari za ukungu na ya kupambana na wadudu haribifu. Sasa cha kushangaza zilipofika hatua za kuweka matunda zimeanza kunyauka, nimeshang'oa miche kama 200 naomba msaada kwa yeyote ambaye ana utaalamu huu.
 
Ungetupuia picha ya hiyo miche iliyoathirika ili wataalamu tuone ni tatzo gani hasa
 
Hyo ni infection ya bacteria...hua wanashambulia mizizi so mizizi inashindwa kutafuta chakula so nyanya inakosa chakula na virutubisho na hatimaye hunyauka na kukauka.. bacteria hao wnakuwepo hapo ulipopanda nyanya na ukipanda nyanya inanawiri sana na kuvutia ila zikianza tu matunda ndo unaanza kuona infection na ikishafika hapo huwez tena kufanya treatment coz infection inakua kubwa tyr..hapo inaweza kusambaa shamba zima likanyauka...so inashauriwa ufanye treatment ya mbegu kabla ya kusia...ufanye treatment miche kuanzia inachomoza tu kwenye kitalu na ridomil...na pia kutumia hybrid kwani zinakua na high resistance ya magonjwa hayo...pia wakati wa kusia mbegu pale kwenye kishimo kabla hujaweka mche kunakuaga na dawa unapiga pale inaulinda ule mmea na infection za hao bacteria...pia ndani ya wiki mbili za mwanzo unaendelea kuutreat mmea na madawa kama ridomil...innovex...kwa ninavyojua ukifanya hayo utakua umefanya treatment ya mapema sana kwenye mche hvyo utakua umeukinga na bacteria hao kama furaziam...ila usipofanya hivyo ukija kuona dalili wakati mmea ushaanza kutoa matunda ndo tayari hivyo huwezi kutreat kitu hapo

thats what i know..kama kuna wajuzi zaidi watasema
 
Huo ugonjwa unakuaga na msimu tulikuwa tunauita ngumi kihalisia huwa hautibiki kama unaweza zin'goe uoteshe nyingine usiendelee kuingia gharama na vipi majirani zako kama wamepanda nyanya kuko sawa?
 
Hyo ni infection ya bacteria...hua wanashambulia mizizi so mizizi inashindwa kutafuta chakula so nyanya inakosa chakula na virutubisho na hatimaye hunyauka na kukauka.. bacteria hao wnakuwepo hapo ulipopanda nyanya na ukipanda nyanya inanawiri sana na kuvutia ila zikianza tu matunda ndo unaanza kuona infection na ikishafika hapo huwez tena kufanya treatment coz infection inakua kubwa tyr..hapo inaweza kusambaa shamba zima likanyauka...so inashauriwa ufanye treatment ya mbegu kabla ya kusia...ufanye treatment miche kuanzia inachomoza tu kwenye kitalu na ridomil...na pia kutumia hybrid kwani zinakua na high resistance ya magonjwa hayo...pia wakati wa kusia mbegu pale kwenye kishimo kabla hujaweka mche kunakuaga na dawa unapiga pale inaulinda ule mmea na infection za hao bacteria...pia ndani ya wiki mbili za mwanzo unaendelea kuutreat mmea na madawa kama ridomil...innovex...kwa ninavyojua ukifanya hayo utakua umefanya treatment ya mapema sana kwenye mche hvyo utakua umeukinga na bacteria hao kama furaziam...ila usipofanya hivyo ukija kuona dalili wakati mmea ushaanza kutoa matunda ndo tayari hivyo huwezi kutreat kitu hapo

thats what i know..kama kuna wajuzi zaidi watasema
Vipi ambazo zinapukutika majani pale matunda ya awali yanapoelekea kukomaa? Yaani majani yanapukutika yote na nyanya kushindwa kunenepa na hii inapelekea kuwa na mchumo mmoja au miwili tu
 
Hyo ni infection ya bacteria...hua wanashambulia mizizi so mizizi inashindwa kutafuta chakula so nyanya inakosa chakula na virutubisho na hatimaye hunyauka na kukauka.. bacteria hao wnakuwepo hapo ulipopanda nyanya na ukipanda nyanya inanawiri sana na kuvutia ila zikianza tu matunda ndo unaanza kuona infection na ikishafika hapo huwez tena kufanya treatment coz infection inakua kubwa tyr..hapo inaweza kusambaa shamba zima likanyauka...so inashauriwa ufanye treatment ya mbegu kabla ya kusia...ufanye treatment miche kuanzia inachomoza tu kwenye kitalu na ridomil...na pia kutumia hybrid kwani zinakua na high resistance ya magonjwa hayo...pia wakati wa kusia mbegu pale kwenye kishimo kabla hujaweka mche kunakuaga na dawa unapiga pale inaulinda ule mmea na infection za hao bacteria...pia ndani ya wiki mbili za mwanzo unaendelea kuutreat mmea na madawa kama ridomil...innovex...kwa ninavyojua ukifanya hayo utakua umefanya treatment ya mapema sana kwenye mche hvyo utakua umeukinga na bacteria hao kama furaziam...ila usipofanya hivyo ukija kuona dalili wakati mmea ushaanza kutoa matunda ndo tayari hivyo huwezi kutreat kitu hapo

thats what i know..kama kuna wajuzi zaidi watasema
duuuh ina maana mkuu hakuna jinsi kabisa yeyote ya kuokoa hasara hata tu kupunguza athari?
 
Achaneni na kilimo wazee kitawatia umaskini wa milele.

Na mwenye maskio asikie.
 
Back
Top Bottom