Nipo mkoa wa MtwaraUnapatikana mkoa gani?
Kaka vp samhn nOmb nMba yako nikupigie nalima ufuta mwka huu nikuombe ushauri kidogoNipo mkoa wa Mtwara
Nimeshaanda eneo tayari Ila silimi kwenye matatuUshandaa eneo la kubonda?au utapanda kwa matuta?
Ufuta haueleweki, unaweza kukudanganya kuwa upo, kumbe ni mabua tyuuh.
Ni zao la msimu, na uki kuibukia hela nje nje. Muhimu kuwa makini ktk kutia mbolea na kuzuia wadudu wasipukutishe majani haraka.
Mkuu naomba maelekezo hpo kwenye kuweka mbolea na dawa ya wadudu ni ipi?Ushandaa eneo la kubonda?au utapanda kwa matuta?
Ufuta haueleweki, unaweza kukudanganya kuwa upo, kumbe ni mabua tyuuh.
Ni zao la msimu, na uki kuibukia hela nje nje. Muhimu kuwa makini ktk kutia mbolea na kuzuia wadudu wasipukutishe majani haraka.