DSTV nafikir wana hatimiliki kuanzia makundi ila chini ya makundi ata vile visambusi mshenzi vina AccessWakuu, natamani mno kuangalia mechi za vilabu vyetu vya Africa hasa katika ligi ya mabingwa, je ni king'amuzi kipi kinaonesha michuano hiyo? Hawa wengine wamejikita mno Ulaya mpaka mashindano mawili ya nchi moja wanaonesha!
Sent using Jamii Forums mobile app
ZBC2 walionyesha Zamalek Vs TP Mazembe saa 4 usiku. Leo saa 1 wanaonyesha Zesco
Tatizo LA ZBC2 niwa babaishajitu. Wanaonyesha siku wakipenda. Naona Bora DSTV wao sio Magumashi kama ZBC2
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee wabongo na wamisri wanazipenda sana timu zao. Hapa Ndola Zambia uwanja ni mweupe. Ni kama mechi ya Simba na Mwadui tu
Hata Mwadui kwani kamtoa jasho mtoto wa TFF anayedekezwaHalafu mpira unaopigwa ni wakawaida sana, Simba iliteleza kidogo ila kiwango chake ni cha CAF champions league.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaumwa wewe
Huenda we ukawa mgonjwa zaidiUnaumwa wewe
Aagh, hao ndo niliosema wamejikita kuonesha michuano miwili ya nchi moja ya Ulaya.ZBC2 walionyesha Zamalek Vs TP Mazembe saa 4 usiku. Leo saa 1 wanaonyesha Zesco
Basi nao wanazingua,mbali epl naona azam wamewafunika dstv kwa mengi
Sent using Jamii Forums mobile app
Azamu wanawafunika DStv??[emoji44]wewe jamaa umetoka kupimwa TEZI DUME NINI??
Sent using Jamii Forums mobile app