Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Acha vitukoBasi nao wanazingua,mbali epl naona azam wamewafunika dstv kwa mengi
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeshaita local... Sijui unataka nn tenaZaidi ya epl kuna nini,kwanza local chanel dstv hadi sasa ni chache
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa atakuwa katibu mwenezi wa Azam....hii azam ambayo mvua ikinyesha tunapiga decorder makofi.Azamu wanawafunika DStv??[emoji44]wewe jamaa umetoka kupimwa TEZI DUME NINI??
Sent using Jamii Forums mobile app
Juzi nikaweka ZBC 2 mida ya saa tatu hivi usiku, kweli mechi ilikuwa ya CAF lakini tangazo linasomeka timu tofauti na zilizokuwa zikicheza 'live' nikabaki naduwaa tu.Jamaa atakuwa katibu mwenezi wa Azam....hii azam ambayo mvua ikinyesha tunapiga decorder makofi.
[emoji23][emoji23][emoji23] kweli maana Chanel TEN haimo.Zaidi ya epl kuna nini,kwanza local chanel dstv hadi sasa ni chache
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa bongo hatupo seriousJuzi nikaweka ZBC 2 mida ya saa tatu hivi usiku, kweli mechi ilikuwa ya CAF lakini tangazo linasomeka timu tofauti na zilizokuwa zikicheza 'live' nikabaki naduwaa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wewe Uefa champions league unaangalia kwenye king'amuzi kipi mwenzetu?Zaidi ya epl kuna nini,kwanza local chanel dstv hadi sasa ni chache
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi nao wanazingua,mbali epl naona azam wamewafunika dstv kwa mengi
Sent using Jamii Forums mobile app