Ni kanisa gani??Kinacho tuuma zaidi ni kwamba sasa hawataki tena kuonana na sisi
Habari yote wameikabidhi serikalini
Basi mkuu, relax wala usiwe na hofu. Yaani wao hapo ndo inabidi wawe na presha. Wewe wataarifu tu kuwa huuzi tena eno lako, umeghairi.Mkuu hakuna mahali popote tumesaini
Yaani ilikua unaingia ndani kwenye ofisi ya Askofu unakutana na watumishi kama 10 hivi wamevaa majoho wanaongea kwa upendo utadhania wametoka mbinguni jana
Mnapatana bei kisha wanaandika details zako tu na hati zako unabaki nazo wewe
Kesho yake tukarudi, unaitwa ndani unapewa hela yako unaondoka, hakuna kusaini popote
Yaani mazingira yalikua ni ya kiimani kiimani hivi kumbe tunapigwa
Hatujasaini popote pale
Hasara kwenye maisha hazikwepeki endelea kupambanaMkuu sikununua ili niuze kwa sasa
Siwezi kuacha kudai haki yangu eti kwasababu kuna mwingine alidai akapunjika
Kama wataamua kunidhulumu ndio maisha ila nitapigania hadi nione mwisho
Naumia sana wachungaji kutufanya mafala
Ungeliweka wazi tungekupa mbinu.Mkuu naomna nilihifadhi [emoji120]