Pole mkuu na hii kweli inaboa sanaWandugu,
Vyuma vimekaza kweli kweli, Mhindi wangu mpaka leo hajanilipa mshahara wangu wa mwezi uliopita nahisi wa December ndio nitalipwa January mwishoni.
Hivi hakuna sheria yoyote inambana muajiri kwenye suala la kuchelewesha mishahara?
Nimeipitia labour law act karibu yote lakini naona maruweruwe