Habari za asubuhi ndugu,
Naomba msaada wa kisheria juu ya jambo lililonisibu katika ajira nliokuanayo katika kampuni moja hapa Tanzania. Nimefanya kazi kwa miezi 7 katika kampuni moja na baada ya kumaliza miezi 7 kampuni ilisema imebadili muundo wa kazi (business model) na kuwapa wafanyakazi wote option ya kuendelea au kuacha kazi (retrenchment process).
Basi wengi wetu tuliacha kazi nakufanya clearance process kama kawaida ya utaratibu wa kampuni. Basi makubaliano yetu na kampuni ilikua kulipwa hela zetu (Terminal benefits) kufikia tar 15/7 ila hayo malipo yalianza kuzungushwa mpaka mnamo tareh 21/7 nikapokea barua kua malipo yangu (Terminal Benefits) zimezuiwa kwa sababu kuna upotevu wa vitu ofisini na kwa hiyo sitolipwa mpaka uchunguzi uishe.
Nlifunga safari na kwenda eneo langu nililokua nafanyia kazi ili kujua shida na nini, na pia kwenda police kujua hyo kesi na RB ilikua kwa mpelelezi yupi. Kilichotokea nilikuta hapakua na kesi ila RB ilikua ni taarifa tu ilionyesha upotevu wa vitu ofisini na haikua inanishutumu mie as a suspect.
Na pia RB hii ilionyesha upotevu umetokea mwezi wa 6 na kipindi ambacho sikuepo kikazi mpaka kufikia leo hii malipo yangu hayajatoka na nimedhalilishwa na kushutumiwa kwa kesi ambayo sijafanya.
Naomba msaada na wenu wa kimawazo na ushauri juu ya hili ili kampuni hii itoe malipo yangu na fidia ya gharama ninazoendelea kuingia juu ya hili.
Naomba msaada wa kisheria juu ya jambo lililonisibu katika ajira nliokuanayo katika kampuni moja hapa Tanzania. Nimefanya kazi kwa miezi 7 katika kampuni moja na baada ya kumaliza miezi 7 kampuni ilisema imebadili muundo wa kazi (business model) na kuwapa wafanyakazi wote option ya kuendelea au kuacha kazi (retrenchment process).
Basi wengi wetu tuliacha kazi nakufanya clearance process kama kawaida ya utaratibu wa kampuni. Basi makubaliano yetu na kampuni ilikua kulipwa hela zetu (Terminal benefits) kufikia tar 15/7 ila hayo malipo yalianza kuzungushwa mpaka mnamo tareh 21/7 nikapokea barua kua malipo yangu (Terminal Benefits) zimezuiwa kwa sababu kuna upotevu wa vitu ofisini na kwa hiyo sitolipwa mpaka uchunguzi uishe.
Nlifunga safari na kwenda eneo langu nililokua nafanyia kazi ili kujua shida na nini, na pia kwenda police kujua hyo kesi na RB ilikua kwa mpelelezi yupi. Kilichotokea nilikuta hapakua na kesi ila RB ilikua ni taarifa tu ilionyesha upotevu wa vitu ofisini na haikua inanishutumu mie as a suspect.
Na pia RB hii ilionyesha upotevu umetokea mwezi wa 6 na kipindi ambacho sikuepo kikazi mpaka kufikia leo hii malipo yangu hayajatoka na nimedhalilishwa na kushutumiwa kwa kesi ambayo sijafanya.
Naomba msaada na wenu wa kimawazo na ushauri juu ya hili ili kampuni hii itoe malipo yangu na fidia ya gharama ninazoendelea kuingia juu ya hili.