Msaada kisheria

Muntu Ya Pori

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
222
Reaction score
64
Habari wanajanvi! Naomba kujuzwa. Je, Kuna sheria yoyote ambayo inamlinda mfanyakazi ambaye hajapewa mkataba na amefanyakazi mwaka mmoja na nusu ikitokea amesimamishwa Kazi Mara moja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…