Duh!Kwa hiyo ni kawaida?Maana usijekuwa ninashangaa Mimi mwenyewe kwa sababu ni mgeni!!Hehehehe Azam+mawingu+mvua=pain killer
Sisi tushaamaa huko Azam mkuu saivi tupo Azam full burudaniDuh!Kwa hiyo ni kawaida?Maana usijekuwa ninashangaa Mimi mwenyewe kwa sababu ni mgeni!!
Kukiwa na mawingu dish haikamati,tafuta ya Azam ya antenaDuh!Kwa hiyo ni kawaida?Maana usijekuwa ninashangaa Mimi mwenyewe kwa sababu ni mgeni!!
Sijakuelewa mkuu naona umetumia lugha ngumuSisi tushaamaa huko Azam mkuu saivi tupo Azam full burudani
Husipoelewa hii reply basiii