JF doctor uko wapi?,njoo utoe maelekezo mkuu.
Namishukuruni nyote, mgonjwa alipata ahueni na kutufahamisha kuwa anatibiwa SANITAS Mikocheni nasi tukamuwahisha. Kwa kweli Mungu ni Mwema, mgonjwa anaendelea vizuri. Ametoka hospitali
Una maana gani? Huwa sipotezi muda, Si wa kwangu au wa mtu mwingine. I suggest that you behave next time.