Msaada Kiswahili: cha neno Conscious mind na sub conscious mind

Msaada Kiswahili: cha neno Conscious mind na sub conscious mind

mcharewamwika

Member
Joined
Jul 27, 2011
Posts
10
Reaction score
1
Tafadhali nisaidieni naandika andiko la kiswahili lenye maneno ya kisaikolojia natafuta maneno ya kiswahili yanayoweza kuwasilisha maneno haya "Conscious mind" na "Subconscious mind" tafadhali wataalamu wa saikolojia Tanzania na popote nisaidieni!
 
Tafuta kamusi ya Kiswahili utapata unachotafuta mdau
 
Hiki kigimu sana! Sijatafuta popote maneno hayo kwa Kiswahili. Lakini tukikubali kwamba akili ni "mind" conscious mind huweza kuwa akili za kujitambua, na subconscious mind akili za kutojitambua.

Acha kudanganya watu we we. eti "akili za kutojitambua"!!! Kha
 
mangatara, mugajamii, jipu nyie wote wapotoshaji. Kwanza unatakiwa uelewe "sub" maana yake nn, hii ni prefix...ikiwa na maana ya "below" something, sio negative or opposite that something. Kwahiyo maana ya "conscious mind" wote mko sawa...ila hapo kwenye "sub-conscious mind" ndio naona wote pumba tu. subconscious mind means: internal sense of being ambayo consious mind haiwezi decipher, i mean kukupa maono halisi, wakristo wanaita nafsi, mfano mzuri wa activities za subconscious mind ni ndoto
 
Conscious mind = dhamira njema sub conscious mind = kutokujitambua ufanyalo
mangatara, mugajamii, jipu nyie wote wapotoshaji. Kwanza unatakiwa uelewe "sub" maana yake nn, hii ni prefix...ikiwa na maana ya "below" something, sio negative or opposite that something. Kwahiyo maana ya "conscious mind" wote mko sawa...ila hapo kwenye "sub-conscious mind" ndio naona wote pumba tu. subconscious mind means: internal sense of being ambayo consious mind haiwezi decipher, i mean kukupa maono halisi, wakristo wanaita nafsi, mfano mzuri wa activities za subconscious mind ni ndoto
 
Kujitambua na kutokujitambua
mangatara, mugajamii, jipu nyie wote wapotoshaji. Kwanza unatakiwa uelewe "sub" maana yake nn, hii ni prefix...ikiwa na maana ya "below" something, sio negative or opposite that something. Kwahiyo maana ya "conscious mind" wote mko sawa...ila hapo kwenye "sub-conscious mind" ndio naona wote pumba tu. subconscious mind means: internal sense of being ambayo consious mind haiwezi decipher, i mean kukupa maono halisi, wakristo wanaita nafsi, mfano mzuri wa activities za subconscious mind ni ndoto
 
tuelezee na wewe tukukosoe sasa siyo unamponda mwenzako tu

mangatara, mugajamii, jipu nyie wote wapotoshaji. Kwanza unatakiwa uelewe "sub" maana yake nn, hii ni prefix...ikiwa na maana ya "below" something, sio negative or opposite that something. Kwahiyo maana ya "conscious mind" wote mko sawa...ila hapo kwenye "sub-conscious mind" ndio naona wote pumba tu. subconscious mind means: internal sense of being ambayo consious mind haiwezi decipher, i mean kukupa maono halisi, wakristo wanaita nafsi, mfano mzuri wa activities za subconscious mind ni ndoto
 
Conscious mind-ni kutumia akili wakati tendo fulani linafanyika. Hii inatokea pale mtu anapokuwa hana uzoefu wakati anafanya jambo/tendo fulani, kutokana na kutokuwa na uzoefu inabidi atumie uzingativu wakati wa kutekeleza jambo/tendo huzika. kwa mfano mtu anayejifunza kuendesha gari akitaka kubadili mwendo wa gari itambidi afikirie sana kabla ya uamuzi huo, lakini…
Unconscious mind ni pale mtu anapofanya jambo bila kutumia akili au kufikiri, tukilinganisha na mfano wa dereva hapo juu utaona kuwa madereva wote wazoefu wanatumia unconscious mind wakiwa wanaendesha magari.
Kwahiyo kwa kifupi naweza kusema kwamba….
Conscious mind - Uzingativu/kufikiri wakati wa kutenda.
Unconscious mind- Kutozingatia/kutokufikiri wakati wa kutenda.
Tofauti za hayo conscious na unconscious mind zinategemea taarifa za tendo fulani zilizopo kwenye ubongo. Unconscious mind inatokea pale mtu anapokuwa kwenye sehemu au kitu ambacho ni kigeni kwake.
Tumezoea kutamka 1,2,3,4…… .10 kwa harakaharaka. Lakini ni vigumu kutamka namba hizo ukianzia 10,9,8,7,6… .1 kwa harakaharaka.
 
Hiki kigimu sana! Sijatafuta popote maneno hayo kwa Kiswahili. Lakini tukikubali kwamba akili ni "mind" conscious mind huweza kuwa akili za kujitambua, na subconscious mind akili za kutojitambua.

nakubaliana na wewe mkuu huu ni ukweli kwani wote walikataa ulichosema wameishia kujikanyaga afadhali hata mrigariga yeye kashauri itumike kamusi kama vile wot hawa wanaojikanyaga hawajasikia walakuiona. ukiona kiwango cha jitahada kinakuambia walianzia huku. ila yawezekana ipo kamusi mpya ambayo hawajaiona
 
Conscious mind = dhamira njema
sub conscious mind = kutokujitambua ufanyalo

Mangatara kama sub conscious mind ni dhamira njema what about good intentions? Then unaposema ni kutojitambua hiyo ni unconscious state of mind.

Sub conscious mind hufanya kazi 24/7 hata mtu anapokuwa awake 100% hivyo huwezi kusema kutojitambua.


Sub conscious mind ni pale ubapofikiria kitu sana then yanatokea mazingira yanayosababisha hicho kitu kutokea. Mfano kwenye safari gari inaenda mwendo kazi barabarani unaanza kupata woga unaiona kabisa ajali na jinsi inavyotokea,gari inatoka barabarani na kuwarusha abiria huko na huko. Then mara unasikia tyre burst then gari ina...

Ukipata kitabu hiki kisome 'The power of sub conscious mind' by Joseph Murphy. Kinaelezea vizuri sana.

Ila natumaini kuna kiswahili chake fasaha.
 
Conscious mind ni pale unafanya jambo kwa kutumia milango yote mitano ya fahamu yaani kuona,kusikia,kulamba,kugusa na kunusa.
 
nakubaliana na wewe mkuu huu ni ukweli kwani wote walikataa ulichosema wameishia kujikanyaga afadhali hata mrigariga yeye kashauri itumike kamusi kama vile wot hawa wanaojikanyaga hawajasikia walakuiona. ukiona kiwango cha jitahada kinakuambia walianzia huku. ila yawezekana ipo kamusi mpya ambayo hawajaiona

Kwenye kamusi lazima ipo mkuu. Kuna maneno magumu kuliko hii.
 
Nachweza kuchangia hili kabla ya kutatuta maana kabisa ya haya maneno...kweny hii Mind kuna mgawanyiko wa sehen mbili.
Nazo ni Consious mind na Sub conscious mind,sasa hi sehen ya conscious mind in sehem ambayo binadam anaweza kuitawala yy mwenywe kwa aslimia zote....mfno unapanga nin cha kufany na unafanya..
Kwenye hii sehem nyingine ya Sub conscious mind hi no sehem ambayo uko kinyume na ya kwanza..yaani hapa binadam hana uwezo wa kuitawal hii sehem Bali ynywe ndio itakayo mtawala...mfani wa mteja wa unga au mlevi anakua yuko kwenye hii sehem..hata tunapofanya mapnzi tunaingia kwenye hii sehem...nawakilisha"
 
Back
Top Bottom