Msaada, kiswahili kwenda kiingereza

Msaada, kiswahili kwenda kiingereza

Seniour

New Member
Joined
Feb 7, 2009
Posts
1
Reaction score
0
Nawasalimu wana JF. Mwanajamii nimetatizwa na hili lifuatalo: Naomba wana JF wanisaidie jinsi ya kumuuliza kwa kiingereza Baba yangu Mzazi kuwa mimi ni mtoto wa ngapi kuzaliwa kwake au kwenye familia yetu! Lakini kwa Kimombo.

Mfano: Unaita Baba, anaitika Naam. Swali Linaanza Hivi. Baba, mimi ni mtoto wangapi kuzaliwa kwako?
 
Nawasalimu wana JF. Mwanajamii nimetatizwa na hili lifuatalo: Naomba wana JF wanisaidie jinsi ya kumuuliza kwa kiingereza Baba yangu Mzazi kuwa mimi ni mtoto wa ngapi kuzaliwa kwake au kwenye familia yetu! Lakini kwa Kimombo.

Mfano: Unaita Baba, anaitika Naam. Swali Linaanza Hivi. Baba, mimi ni mtoto wangapi kuzaliwa kwako?
Hata si ungebisha hodi mkuu?
 
Kuna thread kama hii hii ilianzishwa miezi kama 2 iliyopita, search kwenye forum ya lugha
 
Kuna thread kama hii hii ilianzishwa miezi kama 2 iliyopita, search kwenye forum ya lugha
Seniour,
Join Date: Sat Feb 2009 Posts: 1
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
msaidie kaka! si unaona tena just a single post! labda kajiunga humu kuuliza hiyo tu!
 
Nawasalimu wana JF. Mwanajamii nimetatizwa na hili lifuatalo: Naomba wana JF wanisaidie jinsi ya kumuuliza kwa kiingereza Baba yangu Mzazi kuwa mimi ni mtoto wa ngapi kuzaliwa kwake au kwenye familia yetu! Lakini kwa Kimombo.

Mfano: Unaita Baba, anaitika Naam. Swali Linaanza Hivi. Baba, mimi ni mtoto wangapi kuzaliwa kwako?

Daddy... what is my rank in the birth order of our family?
 
whatz up dingi?how many kids do you have and which number I am among them?temme dady?
kithungu halisi...yeah son..you are my 20th son in your family and am adding 20 again..
 
Back
Top Bottom