Mtanzanika
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,389
- 1,131
Tafuta riwaya zenye maudhui mbadala. Si lazima hiyo best!!!
Ana sababu maalum za kukitafuta hicho...!
Sijaweza kupata msaada wa namna ya kukipata kitabu hiki mpaka hii leo.Pls ukikipata nijulishe tafadhali
View attachment 145361
Naomba mnisaidie niweze kukipata Kitabu hiki cha riwaya ya Kiswahili kiitwacho ASALI CHUNGU kilichoandikwa na Prof. Said A. Mohamed.
Niliwahi kuwa nacho lakini nilimwazima mtu na hakunirudishia tangu mwaka 2001.
Nimejitahidi kutafuta huko madukani bila mafanikio.
Hiki kitabu ninacho ila nilikipatia Kenya. Kwa hapa Tanzania nilizunguka zunguka maduka ya vitabu japo sio Tanzania nzima nilikikosa. Sasa sijui nakusaidiaje