Msaada, KITAMBI changu kimegoma kutoka licha ya mazoezi makali.

Msaada, KITAMBI changu kimegoma kutoka licha ya mazoezi makali.

squirtinator

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2015
Posts
2,765
Reaction score
4,182
Habari zenu wanajukwaa.
Niende kwenye mada moja kwa moja. Mimi nina mwili wa wastani, sio bonge wala sio kimbaumbau. Ila nina kitambi fulani hivi, sio kikubwa sana ila kinanikera sana kuwa nacho. Sikitaki kabisa.
Hivyo mwaka huu nilikusudia kupambana nacho na kweli nimejipa muda karibu kwa wiki mara tatu mida ya jioni. Ninakimbia kilometa takribani nne ndani ya muda fulani, muda mfupi niwezao na huwa najaribu raundi ijayo nivunje rekodi yangu ya mara ya mwisho. Huwa natokwa na kasho jingi sana sababu ya mwili kuchoma mafuta. Nikitoka hapo naruka kamba. Na pia mlo wangu nimebadili toka mwaka umeanza. Nakunywa juisi ya matunda nimetengeneza hom na bites chache. Mchana mara nyingi napo nakunywa juice tu. Sipati njaa hivyo niko fresh tu na hizo juice. Pia nakunywa maji kwa siku lita si chini ya 2 mpaka 3, sinywi maji baridi.

Cha ajabu, mwili unapungua, na nafurahi ila kitambi naona hakipungui. Ni njia gani sahihi ya kupunguza kitambi bila midawa? Wazoefu naombeni msaada. Ni miezi 2 sasa ila ktk tumbo sioni mabadiliko.
Nimeamini kutoa kitambi sio kazi ya mchezo mchezo.
 
Habari zenu wanajukwaa.
Niende kwenye mada moja kwa moja. Mimi nina mwili wa wastani, sio bonge wala sio kimbaumbau. Ila nina kitambi fulani hivi, sio kikubwa sana ila kinanikera sana kuwa nacho. Sikitaki kabisa.
Hivyo mwaka huu nilikusudia kupambana nacho na kweli nimejipa muda karibu kwa wiki mara tatu mida ya jioni. Ninakimbia kilometa takribani nne ndani ya muda fulani, muda mfupi niwezao na huwa najaribu raundi ijayo nivunje rekodi yangu ya mara ya mwisho. Huwa natokwa na kasho jingi sana sababu ya mwili kuchoma mafuta. Nikitoka hapo naruka kamba. Na pia mlo wangu nimebadili toka mwaka umeanza. Nakunywa juisi ya matunda nimetengeneza hom na bites chache. Mchana mara nyingi napo nakunywa juice tu. Sipati njaa hivyo niko fresh tu na hizo juice. Pia nakunywa maji kwa siku lita si chini ya 2 mpaka 3, sinywi maji baridi.

Cha ajabu, mwili unapungua, na nafurahi ila kitambi naona hakipungui. Ni njia gani sahihi ya kupunguza kitambi bila midawa? Wazoefu naombeni msaada. Ni miezi 2 sasa ila ktk tumbo sioni mabadiliko.
Nimeamini kutoa kitambi sio kazi ya mchezo mchezo.
Kapime sukari
 
Habari zenu wanajukwaa.
Niende kwenye mada moja kwa moja. Mimi nina mwili wa wastani, sio bonge wala sio kimbaumbau. Ila nina kitambi fulani hivi, sio kikubwa sana ila kinanikera sana kuwa nacho. Sikitaki kabisa.
Hivyo mwaka huu nilikusudia kupambana nacho na kweli nimejipa muda karibu kwa wiki mara tatu mida ya jioni. Ninakimbia kilometa takribani nne ndani ya muda fulani, muda mfupi niwezao na huwa najaribu raundi ijayo nivunje rekodi yangu ya mara ya mwisho. Huwa natokwa na kasho jingi sana sababu ya mwili kuchoma mafuta. Nikitoka hapo naruka kamba. Na pia mlo wangu nimebadili toka mwaka umeanza. Nakunywa juisi ya matunda nimetengeneza hom na bites chache. Mchana mara nyingi napo nakunywa juice tu. Sipati njaa hivyo niko fresh tu na hizo juice. Pia nakunywa maji kwa siku lita si chini ya 2 mpaka 3, sinywi maji baridi.

Cha ajabu, mwili unapungua, na nafurahi ila kitambi naona hakipungui. Ni njia gani sahihi ya kupunguza kitambi bila midawa? Wazoefu naombeni msaada. Ni miezi 2 sasa ila ktk tumbo sioni mabadiliko.
Nimeamini kutoa kitambi sio kazi ya mchezo mchezo.
Mkuu kwani maji ya baridi yana shida gani kunywa?
 
Acha kufanya mazoezi

Acha kunywa juice na bites


Kunywa maji tu na labda usiku kunywa kikombe cha kahawa na kashata 2 tena moja ndio uzuri 2 nyingi

Fanya kwa wiki 2 kama kitambi hakijaisha njoo nikate makofi
Chakula pia nisile au? Maji ya moto au baridi au yoyote?
 
Wanga na sukari ndio tatizo ....ukiacha tu leta mrejesho
Yawezekana nina tatizo la kutokujua wanga ni vyakula gani, nachojua ugali na wali ni wanga.
Mfano, nile vyakula vipi kwa kuvitaja na nisile vyakula vipi kwa kuvitaja? Samahani kwa usumbufu.
 
Habari zenu wanajukwaa.
Niende kwenye mada moja kwa moja. Mimi nina mwili wa wastani, sio bonge wala sio kimbaumbau. Ila nina kitambi fulani hivi, sio kikubwa sana ila kinanikera sana kuwa nacho. Sikitaki kabisa.
Hivyo mwaka huu nilikusudia kupambana nacho na kweli nimejipa muda karibu kwa wiki mara tatu mida ya jioni. Ninakimbia kilometa takribani nne ndani ya muda fulani, muda mfupi niwezao na huwa najaribu raundi ijayo nivunje rekodi yangu ya mara ya mwisho. Huwa natokwa na kasho jingi sana sababu ya mwili kuchoma mafuta. Nikitoka hapo naruka kamba. Na pia mlo wangu nimebadili toka mwaka umeanza. Nakunywa juisi ya matunda nimetengeneza hom na bites chache. Mchana mara nyingi napo nakunywa juice tu. Sipati njaa hivyo niko fresh tu na hizo juice. Pia nakunywa maji kwa siku lita si chini ya 2 mpaka 3, sinywi maji baridi.

Cha ajabu, mwili unapungua, na nafurahi ila kitambi naona hakipungui. Ni njia gani sahihi ya kupunguza kitambi bila midawa? Wazoefu naombeni msaada. Ni miezi 2 sasa ila ktk tumbo sioni mabadiliko.
Nimeamini kutoa kitambi sio kazi ya mchezo mchezo.
mkuu hicho kinaitwa kitambi chuma, yani kadri unapopiga zoezi kinazidi ugumu. Ngoja waje wataalamu wa kuviyeyusha tupate shule
 
Habari zenu wanajukwaa.
Niende kwenye mada moja kwa moja. Mimi nina mwili wa wastani, sio bonge wala sio kimbaumbau. Ila nina kitambi fulani hivi, sio kikubwa sana ila kinanikera sana kuwa nacho. Sikitaki kabisa.
Hivyo mwaka huu nilikusudia kupambana nacho na kweli nimejipa muda karibu kwa wiki mara tatu mida ya jioni. Ninakimbia kilometa takribani nne ndani ya muda fulani, muda mfupi niwezao na huwa najaribu raundi ijayo nivunje rekodi yangu ya mara ya mwisho. Huwa natokwa na kasho jingi sana sababu ya mwili kuchoma mafuta. Nikitoka hapo naruka kamba. Na pia mlo wangu nimebadili toka mwaka umeanza. Nakunywa juisi ya matunda nimetengeneza hom na bites chache. Mchana mara nyingi napo nakunywa juice tu. Sipati njaa hivyo niko fresh tu na hizo juice. Pia nakunywa maji kwa siku lita si chini ya 2 mpaka 3, sinywi maji baridi.

Cha ajabu, mwili unapungua, na nafurahi ila kitambi naona hakipungui. Ni njia gani sahihi ya kupunguza kitambi bila midawa? Wazoefu naombeni msaada. Ni miezi 2 sasa ila ktk tumbo sioni mabadiliko.
Nimeamini kutoa kitambi sio kazi ya mchezo mchezo.
Kaka kopa halafu weka rehani Amana ya Nyumba unayoishi halafu ushindwe kulipa deni nakuhakikishia kisipoisha Basi hicho kitambi kitakuwa kitambi sugu
 
Chakula pia nisile au? Maji ya moto au baridi au yoyote?
2015 nilikuwa na kilo 80 nikataka nirudi kwenye mpira nikaacha kula nilikuwa najaza maji kwenye jagi naweka kwa fridge na ndimu ndani yake mchana kutwa nanywa maji na plus ndimu ndani yake ukinywa yanashibisha hivyo njaa nilikuwa sipati

Ndani ya wiki 2 nilikuwa na kilo 63


Ukitaka kupunguza haraka uone results haraka acha kula ila ukiendelea kula kwa diet improvement na results utaziona slowly slowly uwe mvumilivu ila kwa fast improvement Fanya hivyo

Binafsi maji baridi sioni madhara yake maana ndio nilikuwa nashindia
 
Back
Top Bottom