bujibuji acha masihara,,Mtoto kapelekwa hospitali na mdingi wake, docta akawa anamuandikia dawa, baba yake
akatoka nje kuongea na simu. Mtoto akamuinamia daktari akamwambia kwa sauti ya chini
chini, 'Dokta kwenye dozi andika Fanta Baridi,chips na kuku kila siku kwa siku 30,kutwa
mara tatu'
bujibuji acha masihara,,
Du lisemwalo lipo ni makabila mengi yanaamini hivyo ila sijapeleleza hiyo ki2 ila.kisayansi hakuna.na piya kuna mambo mengi kisayansi hakuna ila ukipuuza huwa yanatokea
Siyo kweli !
Ni wakunga waliwaaminisha hivyo watu ili wawe makini kutunza kitovu.
Otherwise siyo kweli
Jamani binafsi sijataka kuijaribu hii ingawa nimelea vidume vitupu. ila huwa wanasema na kakuwa kuijaribu ikawa kweli itakuwa ni hasara kwako basi ni bora usimjaribu.
lkn jambo ambalo ni la ajabu sana huwaga kiovu mara zote kinadondoka pembeni hata kama mtoto yuko uchi hakimdondokei tupuni sijajua kwann iko hivyo. lakin sasa ukimvesha sana manguo ndo uwa kinadondokea mbeleni
Teacher nipe somo hapo!Ikiwa amevaa nguo halafu kikaangukia maeneo hayo juu ya nguo inakuwaje?
na je kitovu kikiangukia sehemu za siri za mtoto wa kike anakuwaje?