Msaada kiuvimbe shingoni

tembocard

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
247
Reaction score
121
Habari zenu humu ndani? Poleni Na majukumu, Mm nina tatizo naombeni msaada nimetokewa na kauvimbe kadogo kama size ya harage shingoni chini ya sikio upande wa kulia umekaa kama wiki 3 ulikuwa hauumi ila Leo nimeanza kusikia maumivu ya shingo upande ulipo uvimbe sielewi umesababishwa na nini naombeni msaada tatizo litakuwa ni nini
 
Inawezekana ni tezi zinapambana na ugonjwa,
Kawaida tezi hupotea ndani ya wiki 6.
Jikague kama ulishaumwa mafua, vidonda vya koo au sikio?

Pamoja na hayo yote ni vizuri ukamwona Dr kwa uangalizi wa karibu
 
Inawezekana ni tezi zinapambana na ugonjwa,
Kawaida tezi hupotea ndani ya wiki 6.
Jikague kama ulishaumwa mafua, vidonda vya koo au sikio?

Pamoja na hayo yote ni vizuri ukamwona Dr kwa uangalizi wa karibu
Asante my
 
Inawezekana ni tezi zinapambana na ugonjwa,
Kawaida tezi hupotea ndani ya wiki 6.
Jikague kama ulishaumwa mafua, vidonda vya koo au sikio?

Pamoja na hayo yote ni vizuri ukamwona Dr kwa uangalizi wa karibu
Kidonda kikiwa kichwani na tezi ikavimba shingoni je?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…