malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Habari wakuu nimerudi kwenu kutaka msaada kwa anaejua mahala kilipo kiwanda Cha cello plastic, kipo Dar sehemu gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cello kipo Veta barabara inaitwa Mbozi Road, Jambo kipo Vingunguti hapa Nyerere roadHabar wakuu nimerud kwenu kutaka msaada kwa anaejua mahala kilipo kiwanda Cha cello plastic ..kipo dar sehemu gani
Nashukuru kwa muongozo mzuriCello kipo veta barabara inaitwa mbozi Road, Jambo kipo Vingunguti hapa Nyerere road
Mkuu Nimefika aisee Asante kwa muongozo.Cello kipo veta barabara inaitwa mbozi Road, Jambo kipo Vingunguti hapa Nyerere road
Jina lako jau sana we jamaaKaribu mkuu... mm ndo mzee wa chimbo!
Cc. raraa reree
Kama unaujua mji vyema bar yaKaribu mkuu... mm ndo mzee wa chimbo!
Cc. raraa reree
Kwa nn mku nilitaka niliongezee urefu lisomeke kalaga baho nongwa jau sanaJina lako jau sana we jamaa
Baa zote za kisuma inn! Pia usiache mwenda small planet zote. Uko goba au wapi?
Nikufunze, muda unaotumia kuuliza ni sawa na kugoogle utapata hata directionHabar wakuu nimerud kwenu kutaka msaada kwa anaejua mahala kilipo kiwanda Cha cello plastic ..kipo dar sehemu gani
Gugo inaweza kuonesha location ya zamani. Ukihma gugo bado inaonesha palepale kwa zamani. Hujawah kukutana na kitu hii?Nikufunze, muda unaotumia kuuliza ni sawa na kugoogle utapata hata direction
Kwanini kalaga baho 😂😂😂😂😂😂Kwa nn mku nilitaka niliongezee urefu lisomeke kalaga baho nongwa jau sana
Hakuna taarifa zozote google viwanda vyote vikubwa tanzania vyenye uhakika wa wateja ndani na nje ya nchi huwezi kukuta taarifa zao zilizojitosheleza googleNikufunze, muda unaotumia kuuliza ni sawa na kugoogle utapata hata direction