Msaada kiwanda cha maji

Msaada kiwanda cha maji

ALWATAN KIZIGO

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
539
Reaction score
644
Nimefanya utafiti wa kila kitu kuhusu hii biashara ila tatizo nililo nalo ni kwenye organization structure pili ni jinsi ntakavyokua napokea pesa toka kwa wateja maana nina malori yangu ambayo yatakua yanasambaza maji kama vile makampuni ya coca cola yanavyofanya na mslori. Sasa nahitaji kujuzwa utaratibu mzuri wa kupokea hizo pesa ambazo zitatokana na mauzo ya maji ya kwenye malori (maji ya chupa)
 
Nimefanya utafiti wa kila kitu kuhusu hii biashara ila tatizo nililo nalo ni kwenye organization structure pili ni jinsi ntakavyokua napokea pesa toka kwa wateja maana nina malori yangu ambayo yatakua yanasambaza maji kama vile makampuni ya coca cola yanavyofanya na mslori. Sasa nahitaji kujuzwa utaratibu mzuri wa kupokea hizo pesa ambazo zitatokana na mauzo ya maji ya kwenye malori (maji ya chupa)
Niajiri mimi. Nina experience (10 years) na elimu (Masters in Business Administration-Boston, USA) ya kupokea pesa kutoka kwenye biashara kama zako!
 
Wateja wako walipie kwa bank card,wewe madereva unawapa POS za. Crdb au za Umoja switch.so unakuta all of your money at your bank acc.au pia unawasainisha clients to pay you using Mpesa or any of mobile money
 
Alwatan niPM tuzungumze business. I am willing to share knowledge and possible assisting on raising fund.
 
Back
Top Bottom