Vumilia tu baadae utazoea
Utakuwa unaona kawaida tu na tena utapenda zaidi.
Hee Fidel80!
Mkuu, mwenzio anasema anaumia avumilie kwani yeye jiwe?
Ampeleke polisi na ahakikishe huyu mtu anaachana naye na serikali amuakikishie usalama wake.
Huyu ni sawa na mnyama anatakiwa kukomeshwa kabisa.
Pole sana dada,
Tafuta msaada wa sheria utakao kuacha huru kabla hujapata madhara makubwa zaidi
Vumilia tu baadae utazoea
Utakuwa unaona kawaida tu na tena utapenda zaidi.
Kiongozi leo umeamkia wapi
we Fidel ebu ichukulie hii inshu kiubinadam zaidi..mwenzio anaumia hadi kufikia kwenda hosp we unaongelea rahaTip Top connection
dunia zaidi ya unavyoijua................... waweza
A) Kumuacha
B) Kuvumilia
C) vyombo vya sheria vipo kwanza soma sheria ya ndoa
D) TGNP, akina mama Nkya wapo.... waone
E) Unawazazi, mwenzio anawazazi - kaeni
F) kama mna ndoa mna wasimamizi - kaeni
G) mwisho wa siku ww ndo mwenye maamuzi ya mwisho...........
Pole sana Ndugu kwa matatizo yanayokukabili ndani ya ndoa yako, naungana na ndugu yangu hapo juu anaposema kuwa huyo mme wako hana mapenzi/upendo wa dhati na wewe, kinachoweza kufanyika kama una ndugu yako wa kike ambae huwa una badilishana nae mambo yako binafsi anaweza kuchukua jukum la kuwaeleza wazazi wako other wise kama utasubiria jamaa akuache hiyo sahau kabisa haitokuja kutokea hata siku moja,
Pia kukaa kimya kwako kuhusiana na mchezo huo inaweza ikawa ni sahihi kwake kuona kuwa yuko sahihi katiki hilo jambo analokufanyia POLE SANA,
Hujazimua? Kama una mning'inio wa ziada vile?Tip Top connection
Avumilie tu ndo mambo ya Ndoa hayo baadae ataona kawaida.
Nyie mnataka afanyaje? Amnyime mmewe wa ndoa?
Akisha mnyima aanze kuchukua Machangu kisha alete upupu ndani ya nyumba?
Na akisha pata upupu ndo basi tena.
Avumilie aliapa wataishi kwa shida na raha, kwake shida kwa jamaa raha.
Baadae nae atazoea atakuwa anapata raha tu.
Hamjambo wana jamvi, nina hili tatizo ni miezi mitatu sasa. Mume wangu anataka tigo, ni mtu wa miraba minne ana kilo 110 ni mwanajeshi. Kuna siku akanitigo kwa nguvu, nililia sana nikashindwa hata kutembea. Sasa imekuwa kila baada ya muda fulan anataka tigo. Mpaka sasa kanifanya mara 3. Nimeenda hospital nikapata matibabu. Sasa ananitisha sana nimejaribu kumweleza kaka yake, kipondo nilichopata hakina mfano. Binafsi sipendi huu mchezo kabisa najua madhara yake. Kuniacha hataki. Naumia sana moyoni. Kuwaambia wazaz naogopa. Nisaidien mkakati wa kujitoa kwake au nikashtakije kwa wazazi. Naamin Jf ni sehem sahihi ya kupata michango ya kujenga.
Hamjambo wana jamvi, nina hili tatizo ni miezi mitatu sasa. Mume wangu anataka tigo, ni mtu wa miraba minne ana kilo 110 ni mwanajeshi. Kuna siku akanitigo kwa nguvu, nililia sana nikashindwa hata kutembea. Sasa imekuwa kila baada ya muda fulan anataka tigo. Mpaka sasa kanifanya mara 3. Nimeenda hospital nikapata matibabu. Sasa ananitisha sana nimejaribu kumweleza kaka yake, kipondo nilichopata hakina mfano. Binafsi sipendi huu mchezo kabisa najua madhara yake. Kuniacha hataki. Naumia sana moyoni. Kuwaambia wazaz naogopa. Nisaidien mkakati wa kujitoa kwake au nikashtakije kwa wazazi. Naamin Jf ni sehem sahihi ya kupata michango ya kujenga.