Msaada kubadilisha kituo cha ualimu (moshi vijijini to meru).

Joined
Jan 24, 2011
Posts
58
Reaction score
40
habari zenu wadau.
nami pia naungana nanyi
wadau katika kutafuta mwalimu(secondary)
wa kubadilishana nae kituo
cha kazi. Mimi niko
jimbo la vunjo(moshi vijijini)
eneo la marangu natafuta mdau alieko kati ya arusha
vijijini au meru. Lengo la
kutaka kuhama ni ili
kuwahudumia wazazi
wangu. Wote wako above 85
na wanahitaji uangalizi wa karibu. Maelezo
zaidi;0762040453
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…