Msaada kuchagua mchumba sahihi kati ya hawa nitakaowataja

Msaada kuchagua mchumba sahihi kati ya hawa nitakaowataja

Ngwatuson

New Member
Joined
Jul 13, 2024
Posts
2
Reaction score
2
Habari
Rafiki yangu ameniomba ushauri nikaona sio vibaya kuwashirikisha Wana jamii.

Amesema "Ana wapenzi wawili wote wanamkubali, Wakwanza ni nesi japo halipwi hata mshahara mkubwa na sio bikra zodiac sign yake inaendana na jamaa, she's cool nyashi ya kueleweka anatokea Lindi

Wapili ni anajitafuta tu kweny biashara ndogo ndogo ni bikra zodiac sign haiendani na jamaa ana mwonekano mzuri tu, anatokea moro mgogo" Msaada wakuu majibu yenu.
 
Habari
Rafiki yangu ameniomba ushauri nikaona sio vibaya kuwashirikisha Wana jamii.

Amesema "Ana wapenzi wawili wote wanamkubali, Wakwanza ni nesi japo halipwi hata mshahara mkubwa na sio bikra zodiac sign yake inaendana na jamaa, she's cool nyashi ya kueleweka anatokea Lindi

Wapili ni anajitafuta tu kweny biashara ndogo ndogo ni bikra zodiac sign haiendani na jamaa ana mwonekano mzuri tu, anatokea moro mgogo" Msaada wakuu majibu yenu.
Wewe mleta mada ukiletewa bure Suzuki model na mwaka Sawa moja used imechakaa nyingine kutoka kiwandani itachukua ipi?
 
Nimeishia apo kwenye bikra .bila shaka kaambiwa kupewa mzigo hadi ndoa
 
Habari
Rafiki yangu ameniomba ushauri nikaona sio vibaya kuwashirikisha Wana jamii.

Amesema "Ana wapenzi wawili wote wanamkubali, Wakwanza ni nesi japo halipwi hata mshahara mkubwa na sio bikra zodiac sign yake inaendana na jamaa, she's cool nyashi ya kueleweka anatokea Lindi

Wapili ni anajitafuta tu kweny biashara ndogo ndogo ni bikra zodiac sign haiendani na jamaa ana mwonekano mzuri tu, anatokea moro mgogo" Msaada wakuu majibu yenu.
ebu pocha ya huyu mmakonde tuone nyashi
 
Habari
Rafiki yangu ameniomba ushauri nikaona sio vibaya kuwashirikisha Wana jamii.

Amesema "Ana wapenzi wawili wote wanamkubali, Wakwanza ni nesi japo halipwi hata mshahara mkubwa na sio bikra zodiac sign yake inaendana na jamaa, she's cool nyashi ya kueleweka anatokea Lindi

Wapili ni anajitafuta tu kweny biashara ndogo ndogo ni bikra zodiac sign haiendani na jamaa ana mwonekano mzuri tu, anatokea moro mgogo" Msaada wakuu majibu yenu.
Huyo rafiki yako bila shaka ni wewe mwenyewe,
 
Sidhani kama hili nalo unahitaji kushauriwa.....yaani mke utakayeishi naye wewe unahitaji ushauriwe na watu wengine......sasa kama jambo jepesi kama hili unahitaji kamati ikushauri vipi kuhusu changamoto za ndoa......??

Nadhani akili yako bado haijakomaa kwenye kulifanya hili unalotaka kulifanya.....
1002341822.jpg
 
Habari
Rafiki yangu ameniomba ushauri nikaona sio vibaya kuwashirikisha Wana jamii.

Amesema "Ana wapenzi wawili wote wanamkubali, Wakwanza ni nesi japo halipwi hata mshahara mkubwa na sio bikra zodiac sign yake inaendana na jamaa, she's cool nyashi ya kueleweka anatokea Lindi

Wapili ni anajitafuta tu kweny biashara ndogo ndogo ni bikra zodiac sign haiendani na jamaa ana mwonekano mzuri tu, anatokea moro mgogo" Msaada wakuu majibu yenu.
Huyo rafiki hajui anachotaka ?
 
Back
Top Bottom