Msaada: Kuchukua mkopo NMB na charges

raia_mwema

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2012
Posts
479
Reaction score
314
Naombeni msaada,

Kwa mliowahi kukopaNMB inaposemwa 0.75% ni bima ya Mokpo na 1.5% in loan officer tafsiri mini hasa na ukichukua mkopo wa 10 mil unakatajwe charges Zake na unapokea shilling ngapi?
 
Naombeni msaada,

Kwa mliowahi kukopaNMB inaposemwa 0.75% ni bima ya Mokpo na 1.5% in loan officer tafsiri mini hasa na ukichukua mkopo wa 10 mil unakatajwe charges Zake na unapokea shilling ngapi?

Mi najua za watumish tu. kwamba mkopo unaouomba unapokea wote riba inakuja juu. ingawa kuna asilimia nazani ni 0.75 ambayo huenda kwa ded kutoka kwenye mkopo ulio omba. zaidi cjui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…