Rudaguza01
Member
- Aug 11, 2017
- 92
- 37
Vodacom M-Pawa wamekuwa wakifanya vizuri juu ya mikopo kwa wateja wao ila kwa sasa hyo huduma imekosekana kwa baadhi ya wateja au labda sjui kama ni wote mikopo haitoki na baadhi tumesha jazà na fomu wanazodai ili kupata mkopo lakini ukikopa inafeli. Mwenye plan b jinsi ya kupokea mkopo huo anijuze tafadhari. Nilikuwa nakopa tsh 55000/=.