Ndugu wana JF mie ni mfanyakazi lakini nataka nifanye mitihani ya CISA kwa kujisomea mwenyewe.
Naomba kwa mtu anayejua utaratibu wa jinsi ya kujiandikisha kufanya mitihani , mahala inapofanyiwa kwa hapa tanzania ni wakati gani mitihani hii ufanywa.Pia msaada wa material yoyote yanayoweza kumsadia mtu kufaulu mitihani hii.
Naomba mwenye information yoyote au mtu anayesoma au aliyewahi kusoma tupeane ushauri.