ndugu yangu TRA wameshitisha utoaji wa leseni za uwakala ni mwaka 3 sasa endelea kusubili tu ila anza na hili
1, sajili kampuni yako BRELA
2, andaa MEMORANDUM
3, mkataba ya nyumba ambapo ofc zitakuwepo ili SUMATRA na TRA wajekugagua muda ukifika
4, andaa kijana wa kufanya mtihani CHUO CHA KODI
etc kwa uchache huu ndio ufahamu wangu