Msaada kufungua kesi ustawi wa jamii ili kupata restraining order kwa mzazi mwenza msumbufu.

Msaada kufungua kesi ustawi wa jamii ili kupata restraining order kwa mzazi mwenza msumbufu.

s8plus

Member
Joined
Aug 14, 2017
Posts
74
Reaction score
25
Ni kwamba kuna dada yangu ameolewa na jamaa wamepata mtoto mmoja ila tatizo ni huyu shemeji yangu. Hataki kufanya kazi yoyote, Yeye ni msomi lakini inafikia wakati hata hela ya Diapers hawana lakini jamaa anashinda amekaa ndani tu. Amepata deals za kazi hadi za kumlipa 1.5M lakini hataki kufanya kazi. Anamwambia mke wake ataanza lini kufanya kazi la sivyo watakufa njaa.

Sasa ndugu zake wanakuja kumnyanyasa huyu dada yangu kwa maneno wakati psychologically kwanza hayuko fit sana kwa sababu ya huyu mume wake.

Anamsababishia matatizo mengi sana wadau coz pia anampiga sana na anatoka kwenda kunywa pombe anarudi usiku sana anatumia pesa ambazo wamepewa zawadi na watu kwa ajili ya mtoto mchanga ambaye ndio kwanza ana mwezi mmoja tu. msaada please wadau
 
Kwahiyo wewe shemejimtu unatakaje, kumsaidia dadaako kuachana na mumewe au? Maana umeshasema mumewe hana kazi! Huyo dada yako amekutuma umtaftie ushauri au? Ana umri gani huyo dadaako?
 
Kabla ya kwenda Ustawi wa jamii anzeni usuluhishi ngazi ya familia kwanza na kama ikishindikana mnaweza kwenda Ustaw wa jamii kwa ushauri zaidi
 
Kabla ya kwenda Ustawi wa jamii anzeni usuluhishi ngazi ya familia kwanza na kama ikishindikana mnaweza kwenda Ustaw wa jamii kwa ushauri zaidi
Kusuluhisha tumesuluhisha sana imeshindikana ndio maana imefikia hapo mkuu. Anahitaji mwongozo kwenda huko ustawi wa jamii aanzie wapi
 
Du..poleni mkuu. Hayo majanga ila hata mshkaji nae yupo na frustration.
Watu wa pembeni jaribuni kuwa weka sawa. Wavumiliane yatapita
 
Wakuu hizo hatua za kuvumiliana miaka mitatu sasa wameshazipitia hazijazaa matunda ndio maana wamefikia hapa. Anachohitaji huyu dada sio ushauri wa kusuluhisha coz jamaa ni mkaidi hasuluhishiki. Anahitaji msaada wa ustawi wa jamii
 
Wakuu hizo hatua za kuvumiliana miaka mitatu sasa wameshazipitia hazijazaa matunda ndio maana wamefikia hapa. Anachohitaji huyu dada sio ushauri wa kusuluhisha coz jamaa ni mkaidi hasuluhishiki. Anahitaji msaada wa ustawi wa jamii
Hazijui zilipo office zao?
Aende aulize, watampa procedure
 
Office zao ziko wapi mkuu
Aende ofis za mtaa, Tanzania nzima ofis za watendaji zina maafisa Ustawi wa jamii ngazi ya kata ... Kesi ikiwa ngumu ndio hupelekwa Ustaw wa jamii wilaya
 
Aende ofis za mtaa, Tanzania nzima ofis za watendaji zina maafisa Ustawi wa jamii ngazi ya kata ... Kesi ikiwa ngumu ndio hupelekwa Ustaw wa jamii wilaya
Asante sana mkuu
 
Ni kwamba kuna dada yangu ameolewa na jamaa wamepata mtoto mmoja ila tatizo ni huyu shemeji yangu. Hataki kufanya kazi yoyote, Yeye ni msomi lakini inafikia wakati hata hela ya Diapers hawana lakini jamaa anashinda amekaa ndani tu. Amepata deals za kazi hadi za kumlipa 1.5M lakini hataki kufanya kazi. Anamwambia mke wake ataanza lini kufanya kazi la sivyo watakufa njaa.
Sasa ndugu zake wanakuja kumnyanyasa huyu dada yangu kwa maneno wakati psychologically kwanza hayuko fit sana kwa sababu ya huyu mume wake.
Anamsababishia matatizo mengi sana wadau coz pia anampiga sana na anatoka kwenda kunywa pombe anarudi usiku sana anatumia pesa ambazo wamepewa zawadi na watu kwa ajili ya mtoto mchanga ambaye ndio kwanza ana mwezi mmoja tu. msaada please wadau
Ivi mtu anawezaje kuvumilia na kiatu kinachomban?
 
Mkuu pambana na familia yako..

Ya shemeji na dada yako waachie wayamalize....
nyie ndio mnàaçhàga hadi ndugu zenu wanakufa kisa eti hayakusu..,..kumbuka huyo shemeji hana cha kupoteza ye akimtia ulemavu au kumuua kwa kipigo atafuta mwingine..
 
Waeza kuta dada yako alizidisha kipimo katika limbwata
 
Akome kumpa limbwata kaka yangu.
Ni kwamba kuna dada yangu ameolewa na jamaa wamepata mtoto mmoja ila tatizo ni huyu shemeji yangu. Hataki kufanya kazi yoyote, Yeye ni msomi lakini inafikia wakati hata hela ya Diapers hawana lakini jamaa anashinda amekaa ndani tu. Amepata deals za kazi hadi za kumlipa 1.5M lakini hataki kufanya kazi. Anamwambia mke wake ataanza lini kufanya kazi la sivyo watakufa njaa.

Sasa ndugu zake wanakuja kumnyanyasa huyu dada yangu kwa maneno wakati psychologically kwanza hayuko fit sana kwa sababu ya huyu mume wake.

Anamsababishia matatizo mengi sana wadau coz pia anampiga sana na anatoka kwenda kunywa pombe anarudi usiku sana anatumia pesa ambazo wamepewa zawadi na watu kwa ajili ya mtoto mchanga ambaye ndio kwanza ana mwezi mmoja tu. msaada please wadau
 
Back
Top Bottom