CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,357
- 6,424
Sijawahi sikia mtu anaomba uhamisho wa chuo ndo leo
acha zako wewe!mshikaji wangu mmoja alipangiwa M.D hubbert kairuki akahamia kcmc,,,hiyo 9,10 mchizi mwingine kapelekwa chuo hicho hicho akaona mauzauza akamia chemical processing UD!Tena wote bila refa ni just communication na tcu nawalipangiwa loan kama kawa baada ya kuama!xo mshikaji mtoa mada shughulika contact hizo people za tcu utajua cha kufanya vinginevyo umu jukwaani wakatishwa moyo bure!