Msaada, kuhamia Dubai kibiashara

Msaada, kuhamia Dubai kibiashara

DAKA MTUMBA

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2014
Posts
1,288
Reaction score
801
Tanzania sasa imekua si sehemu salama kibiashara kwa upande wangu, tangu mwaka jana November sijawahi kuona faida ya biashara, matumizi yamekua makubwa kuliko faida, yes nikaona isiwe shida nikaifunga biashara tangu mwezi wa 7 mwaka huu ili nipange mipango mipya.

Sasa baada ya kufanya kautafiti nimeadhimia kuondoka nchini ili nikaendeleze biashara yangu au kufungua biashara mpya Dubai.

Hapa Tz nilikua nikifanya biashara ya nguo. Nina familia ya mke na watoto 2, lakini pia nina wadogo zangu na ndugu wa mke wangu na wote ni wanafunzi. So kuyumba kwangu ni kuyumba kwao pia.

Kwahiyo mwenye uelewa wa kupata viza ya kuishi na kufanya biashara anisaidie ili nijue pakuanzia.Pia naomba kujua ni biashara gani itanitoa kimaisha? Mtaji wangu ni around $65,000 tu.

Naomba kuwasilisha!
 
Duhhh.
Kumbe kuna watu hapa ndani wana 'mihela' eeh?!!
Anyway hope utapata ushauri mzuri,niliwahi pita Dubai mwaka juzi,kún sehemu inaitwa Deira kama sikosei,kuna blacks wengi niliwaona hapo wakifanya biashara,but wengi wa wafanyabiashara wa hapo ni Wahindi na wapakistani.
Ila ni wazo zuri kuhamia abroad ili kupata changamoto mpya.
Mungu akutangulie mkuu.
 
Duhhh.
Kumbe kuna watu hapa ndani wana 'mihela' eeh?!!
Anyway hope utapata ushauri mzuri,niliwahi pita Dubai mwaka juzi,kún sehemu inaitwa Deira kama sikosei,kuna blacks wengi niliwaona hapo wakifanya biashara,but wengi wa wafanyabiashara wa hapo ni Wahindi na wapakistani.
Ila ni wazo zuri kuhamia abroad ili kupata changamoto mpya.
Mungu akutangulie mkuu.
Asante mkuu nashukuru sana!
 
Funguka zaidi mkuu
Sina experience but mdogo wangu anasoma huko aliniambia kuwa vyakula vya kitanzania hapo guanzhou kama mtu anajua kupika anapata faida sana coz kuna watanzania wengi wafanyabiashara plus na hao wanafunzi akasema ni biashara inayolipa kama ukikamilisha kila kitu na ukaweza kupata eneo la biashara

Ngoja tusubirie wengine wanaweza wakaja na mawazo mengi zaidi maana mimi sijui kihivo
 
Sina experience but mdogo wangu anasoma huko aliniambia kuwa vyakula vya kitanzania hapo guanzhou kama mtu anajua kupika anapata faida sana coz kuna watanzania wengi wafanyabiashara plus na hao wanafunzi akasema ni biashara inayolipa kama ukikamilisha kila kitu na ukaweza kupata eneo la biashara

Ngoja tusubirie wengine wanaweza wakaja na mawazo mengi zaidi maana mimi sijui kihivo
Shukran sana.
Nadhani natakiwa kufanya tours China na Dubai ili kungalia upepo,but I'm sure biashara ya chakula china itakua nzuri zaidi.
 
Shukran sana.
Nadhani natakiwa kufanya tours China na Dubai ili kungalia upepo,but I'm sure biashara ya chakula china itakua nzuri zaidi.
Ni vizuri kwanza ukaulizia kila kitu ili upate uhakika kabla ya kuondoka na kwenda huko ukapoteza hela na pia kumbuka kule utahitaji kupata wafanyakazi wa kukusaidia kazi zako pamoja na sehemu ya kuishi though yeye aliniambia kuna vyumba vya bei ya chini ingawa sio vizuri ila kwenye kutafuta maisha you can stay
 
Ni vizuri kwanza ukaulizia kila kitu ili upate uhakika kabla ya kuondoka na kwenda huko ukapoteza hela na pia kumbuka kule utahitaji kupata wafanyakazi wa kukusaidia kazi zako pamoja na sehemu ya kuishi though yeye aliniambia kuna vyumba vya bei ya chini ingawa sio vizuri ila kwenye kutafuta maisha you can stay
Thx a lot!
 
Hizo hela umezipata kutokana na biashara, au ulizirithi? 65 stacks is quite a feat no slow mind could hit. Kutengeneza hata nusu ya hiyo, nafikiria sharpness, connections, wafanya biashara wenzio na mazingira uliyopo kwa ujumla yanatosha kabisa kwa unayouliza na zaidi. Plus you gotta be smarter than go around telling how much you hold, much worse to strangers.

Anyway, kama sio chai kila la kheri mkuu.
 
Hizo hela umezipata kutokana na biashara, au ulizirithi? 65 stacks is quite a feat no slow mind could hit. Kutengeneza hata nusu ya hiyo, nafikiria sharpness, connections, wafanya biashara wenzio na mazingira uliyopo kwa ujumla yanatosha kabisa kwa unayouliza na zaidi. Plus you gotta be smarter than go around telling how much you hold, much worse to strangers.

Anyway, kama sio chai kila la kheri mkuu.
mm namuamini huyu mtoa mada. na ww upo wrong side
 
Hizo hela umezipata kutokana na biashara, au ulizirithi? 65 stacks is quite a feat no slow mind could hit. Kutengeneza hata nusu ya hiyo, nafikiria sharpness, connections, wafanya biashara wenzio na mazingira uliyopo kwa ujumla yanatosha kabisa kwa unayouliza na zaidi. Plus you gotta be smarter than go around telling how much you hold, much worse to strangers.

Anyway, kama sio chai kila la kheri mkuu.
Mkuu unahisi natania?
Kwani $65,000 ni tshs ngapi?
Well,back to topic.
Lengo langu ni kwenda Dubai so kama una njia ya kunisaidia then lets do!
Kama huna ni heri kukaa kimya kuliko kukatisha watu tamaa ya kutafuta pesa.
$65,000 nimeanza kuisaka 1999,but im sure wapo wanaoweza kuipata just a week achilia mbali mm nimetumia miaka 18 na maisha yangu bado ni haya hapa kwenye picha
WP_20170911_10_46_30_Pro.jpg
 
Mkuu unahisi natania?
Kwani $65,000 ni tshs ngapi?
Well,back to topic.
Lengo langu ni kwenda Dubai so kama una njia ya kunisaidia then lets do!
Kama huna ni heri kukaa kimya kuliko kukatisha watu tamaa ya kutafuta pesa.
$65,000 nimeanza kuisaka 1999,but im sure wapo wanaoweza kuipata just a week achilia mbali mm nimetumia miaka 18 na maisha yangu bado ni haya hapa kwenye pichaView attachment 592134

Kimsingi nimesema mazingira na njia ulizotumia kutengeneza kiasi unachodai umetengeneza yanatosha kabisa kukufikisha unapotaka. Pia si salama kuanika kiasi ulichonacho kwa kila mtu, wengine wapo mitegoni.

You don't need to make me buy your story, man. It makes no difference whatsoever whether I believe you or not.
 
Nenda China mkuu kuna fursa mno uhakika wa kutusua upo.Pia kabla hujaenda jaribu kupata course ya kichina kidogo ili uwende nao sawa.
 
China chakula inalipa sana mkuu, kuna mkenya pale xnixbei (shebei) anauza choma na ugali anapga kazi kweli.
Mwisho nikupongeze kwa kuwa positive na kuthubutu kwenda kupambana mkuu bongo ya sasa hvi sijui utafanya biashara ipi upate faida.
 
Back
Top Bottom