Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,048
- 15,465
Wakuu wa Vitengo habarini!
Nina tatizo ambalo silielewi ni miezi miwili sasa napata choo uharo kila ninapo pata haja ila sijioni kama naumwa kabisa.
Najiona niko poa kiafya wala sipati maumivu ya tumbo wala nini ila tatizo ni kuharisha tu
naombeni ufumbuzi wa hili janga.
Nina tatizo ambalo silielewi ni miezi miwili sasa napata choo uharo kila ninapo pata haja ila sijioni kama naumwa kabisa.
Najiona niko poa kiafya wala sipati maumivu ya tumbo wala nini ila tatizo ni kuharisha tu
naombeni ufumbuzi wa hili janga.