Habar zenu wapendwa.
Mm kama kijana mwenzenu ningependa kama itawezekana nimiliki nyumba ata chumba na sebure hapa dar es salam sehem yeyote.kiwanja siyo tabu.
Kwa yeyote mwenye uzoefu wa kufaham urahisi au ugumu wa material za ujenzi katika jiji hili la dar es salaam anisaidie.