Msaada kuhusiana na tigo post Paid

Msaada kuhusiana na tigo post Paid

hermanthegreat

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2021
Posts
1,274
Reaction score
3,282
Wakuu kwema ,
Nimefungiwa laini yangu ya tigo kwasababu ety watu wengine hawajalipia huduma hio , kwanini wasifungiwe wao tu.

Wakuu mliowahi kupitia kero hii naombeni njia ya kusovu hili
 
Back
Top Bottom