CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,296
- 12,972
- Thread starter
-
- #21
Just be grateful hayajakukuta. Kama hujawahi kuyaona haimaanishi hayapo.Duh sasa huyo anakufa akiwa anaishi Darwin? Maana ni fully ac kila sehemu..vitu vingine ni imani tu hakuna cha allergy wala nn
Just be grateful hayajakukuta. Kama hujawahi kuyaona haimaanishi hayapo.
HILI NDO JIBU Sahihi kabisa!Kumbuka Compressor ya AC inazungushwa na Engine ya Gari yako.. Hivyo ukiwasha AC unaiongezea kazi ya ziada gari yako ya kuzungusha AC hivyo Engine ya gari yako itabidi itumie nishati ya ziada kwa kazi hiyo!!