Msaada kuhusu ajira

Msaada kuhusu ajira

Fmewa

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2009
Posts
292
Reaction score
81
habari zenu wakuu.
Nimesoma diploma ya computer engineering lakini wakati nasoma chuoni nilipata kazi kwenye kampuni ambayo ni contactor wa telecom operator niliamua kufanya kazi kwani sikua na pesa za ada hivo nikaamua kutafuta kazi ili nipate hela ya kulipa ada na kujikimu. katika kampuni hiyo nilifanya kazi katika position ya NMC au inafahamika kama call centre au contol room operator. hadi namaliza diploma yangu nilikua katika position hiyo na kwa bahati mbaya nilifukuzwa kazi baada ya kumaliza diploma program. mungu mkubwa niilipata kazi ktk kampuni nyingine amabayo ni contactor wa telecom operator ambayo naendelea nayo hadi sasa on the same position.
Ninachokiona hapa ni kuwa kazi ninayofanya na kitu nilichosoma ni tofauti japo kazi yenyewe ni nzuri ila nilnafikiria zaidi kufanya kile nilichokisoma kwa sababu ndio interest zangu zaidi. naombeni ushauri wenu ndugu zangu katika hili nifanyeje? kwani umefika wakati hadi nasahau vitu nilivyosoma darasani.. Naomba ushauri tafadhali
Asanteni wana JF
 
We Uwechoka Ela, Maana Kama Kazi Unaimudu na rizki unapata unataka nini tena au ulisoma ili iweje?
 
habari zenu wakuu.
Nimesoma diploma ya computer engineering lakini wakati nasoma chuoni nilipata kazi kwenye kampuni ambayo ni contactor wa telecom operator niliamua kufanya kazi kwani sikua na pesa za ada hivo nikaamua kutafuta kazi ili nipate hela ya kulipa ada na kujikimu. katika kampuni hiyo nilifanya kazi katika position ya NMC au inafahamika kama call centre au contol room operator. hadi namaliza diploma yangu nilikua katika position hiyo na kwa bahati mbaya nilifukuzwa kazi baada ya kumaliza diploma program. mungu mkubwa niilipata kazi ktk kampuni nyingine amabayo ni contactor wa telecom operator ambayo naendelea nayo hadi sasa on the same position.
Ninachokiona hapa ni kuwa kazi ninayofanya na kitu nilichosoma ni tofauti japo kazi yenyewe ni nzuri ila nilnafikiria zaidi kufanya kile nilichokisoma kwa sababu ndio interest zangu zaidi. naombeni ushauri wenu ndugu zangu katika hili nifanyeje? kwani umefika wakati hadi nasahau vitu nilivyosoma darasani.. Naomba ushauri tafadhali
Asanteni wana JF
Ubaya wa uamuzi wako ni kuwa .......... UNA VYETI AMBAVYO HUNA UZOEFU WA KOZI ZILIZOPO KWENYE VYETI............. NA UZOEFU ULIONAO HUNA VYETI NAO.........
 
We Uwechoka Ela, Maana Kama Kazi Unaimudu na rizki unapata unataka nini tena au ulisoma ili iweje?

Hata mimi nashangaa,wenzio tunatafuta hata hiyo ambayo si ya field tuliyo soma lakini hatupati,we unataka nini tena? Mweeh! Watu bana!
 
kwani lengo la kusoma ni kufanya kazi uliyosomea au hela? usifanye mchezo ndugu yangu maelfu ya watu wanataka angalau wapate japo kibarua cha kupata nauli wanashindwa angalia usichezee shillingikwenye shimo la choo,wee angalia viongozi wetu wengi walichosomea ni tofauti na wizara wanazofanya,mfano Dr mwingi na wizara ya ulinzi,Sarungi alivyokuwa wizara ya ulinzi na wengine wengi tuu ,cha muhimu mkono uende kinywani
 
kwani lengo la kusoma ni kufanya kazi uliyosomea au hela? usifanye mchezo ndugu yangu maelfu ya watu wanataka angalau wapate japo kibarua cha kupata nauli wanashindwa angalia usichezee shillingikwenye shimo la choo,wee angalia viongozi wetu wengi walichosomea ni tofauti na wizara wanazofanya,mfano Dr mwingi na wizara ya ulinzi,Sarungi alivyokuwa wizara ya ulinzi na wengine wengi tuu ,cha muhimu mkono uende kinywani

mkuu nimekupata sana kwa mchango wako. ama kweli "THIS IS A HOME OF GREAT THINKERS"
 
Back
Top Bottom