Msaada kuhusu Allergy

Msaada kuhusu Allergy

rikiboy

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
21,952
Reaction score
43,265
Mtoto mdogo alipewa maziwa ya Ng'ombe kwa muda wa week baada ya hapo Ngozi yake ilianza kubadilika ikawa na mabaka mabaka na kavuu sana na vipele.. Inaonekana ni Allergy ya maziwa sasa Hospital wamenambia itaisha taratibu lakini nimeona niulize hapa Jf labda kuna wataalamu zaidi wanisaidie dawa jamani[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Hosp walinipa mafuta ya Epimax lakini sioni kama yanamsaidia
 
Back
Top Bottom