Msaada kuhusu amoxicillin kwa Mjamzito

matwin

Senior Member
Joined
Jan 7, 2016
Posts
124
Reaction score
134
Habari zenu wana jf......

Mdogo wangu ni mjamzito mimba kama mwenzi mmoja hivi ameenda hospitali ameambiwa ana U.T.I na TYPHOID amepewa amoxicillin 250mg atumie kwa siku kumi na anakunywa 2×3

Je wapendwa kwa hali yake ni sahihi.
 
Ni vizuri zaidi mtu akiwa mjamzito, anapoumwa ugonjwa wowote ule amuone daktari wa wanawake i.e OB/GYN

Baadhi ya dawa zina madhara kwa wajawazito na madaktari wa kawaida huandika dawa ili mradi dawa.

Hizo dawa azipeleke kwa daktari wa wanawake azithibitishe kwanza
 
Dr yuko sawa amoxicillin ni salama kabisa kwa mama mjamzito atumie bila wasiwasi.

Mbaya ni Ciprofloxacin tabs/Chloramphenicol Caps hazifai kwa wajawazito
 
Inatakiwa mjamzito kama anaumwa na ameonana na daktari inabidi aeleze pia kama ni mjamzito ili daktari awe anajua mapema
 
Not necessary to see OB/GYN for the minor clinical illness like that. It can be managed by normal Doc.. Eg. AMo &clinical officer si hospital au vituo vyote vya tiba Vina ma specialist wa kina mama.
 
Dr yuko sawa amoxicillin ni salama kabisa kwa mama mjamzito atumie bila wasiwasi.

Mbaya ni Ciprofloxacin tabs/Chloramphenicol Caps hazifai kwa wajawazito
Asante saana
 
Habari zenu wana jf......

Mdogo wangu ni mjamzito mimba kama mwenzi mmoja hivi ameenda hospitali ameambiwa ana U.T.I na TYPHOID amepewa amoxicillin 250mg atumie kwa siku kumi na anakunywa 2×3

Je wapendwa kwa hali yake ni sahihi.
Amox 250 aiseeeeh mmmh
 
Not necessary to see OB/GYN for the minor clinical illness like that. It can be managed by normal Doc.. Eg. AMo &clinical officer si hospital au vituo vyote vya tiba Vina ma specialist wa kina mama.
Exactly
 
Habari zenu wana jf......

Mdogo wangu ni mjamzito mimba kama mwenzi mmoja hivi ameenda hospitali ameambiwa ana U.T.I na TYPHOID amepewa amoxicillin 250mg atumie kwa siku kumi na anakunywa 2×3

Je wapendwa kwa hali yake ni sahihi.

Asinywe hizo dawa, aende kwanza kwa Gynecologist wao hujua antibiotic zipi zinawafaa wajawazito. Hawa madactary wengine wanaweza kukupa dawa zikamdhuru mtoto. Mimi wife alishamiscarriage baada ya kuandikiwa dawa kama hizo.
 
Low doses Ndugu sijui Dr katumia kigezo gani kufanya precription
One cap has 25omg and the frequency of taking medication is two Caps three times per day. The dose is correct.
 
Asinywe hizo dawa, aende kwanza kwa Gynecologist wao hujua antibiotic zipi zinawafaa wajawazito. Hawa madactary wengine wanaweza kukupa dawa zikamdhuru mtoto. Mimi wife alishamiscarriage baada ya kuandikiwa dawa kama hizo.
No please! May be alikuwa na tatizo jingine. Amoxicillin is safe kwa pregnant mother.it doesn't have abortifient effect
 
No please! May be alikuwa na tatizo jingine. Amoxicillin is safe kwa pregnant mother.it doesn't have abortifient effect

Then may be ilitrigger hilo tatizo, maana nachokumbuka baada ya siku ya tatu tu hali yake ilianza kubadilika na kabla wiki haijakata akadrop matone.
 
Then may be ilitrigger hilo tatizo, maana nachokumbuka baada ya siku ya tatu tu hali yake ilianza kubadilika na kabla wiki haijakata akadrop matone.
Siamini na siwezi kupinga KWA 100% maana amoxicillin kwa pregnancy risk iko category B. Ambayo inaeleza kuwa wanyama waliofanyiwa majaribio kwa hiyo dawa wakiwa na mimba hakuna aliyepata madhara. Ila hakuna detailed research kwa mwanadamu.. Ila kwa clinical practice dawa ni salama kwa mjamzito....ok.. Upande wa mimba kuharbika huenda bi mkumbwa alikuwa na threatened abortion na daktari aka misdiagnose.Mpaka mtu kupata abortion kuna sababu nyingi na sisipotizamwa kwa uaangalifu madhara hutokea. Nafikiri usiitizame dawa peke yake huenda kuna sehemu daktari alichemsha na kushindwa kumtibu huyo Mama tatizo la msingi.
 
Inatakiwa mjamzito kama anaumwa na ameonana na daktari inabidi aeleze pia kama ni mjamzito ili daktari awe anajua mapema
Kweli inaonekana hakumuekeza dr na kwa mwenzi mmoja dr hawezi kujua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…