Msaada kuhusu appeal

Msaada kuhusu appeal

sam_vee

Member
Joined
Sep 22, 2014
Posts
40
Reaction score
1
Mwenye kufahamu jinsi ya kufanya appeal anielekeze tafadhali,
Natanguliza shukrani zangu kwako.
 
si mlikuwa na matusi hapa jukwaani kisa tu mmepata vyuo.....ndo tuone sasa
 
appeals hadii mwezi wa 11 to december kama utakua mvumilivu pia wanatangaza muda ukifika so kuwa na subira tu
 
mtu anashida na asaidiwe co kumlaumu au kumkejeli

mambo mengine ni mtu anafanya ilhali anajuaa nini kitatokea mbeleni... tunatabia yakujaribu sana hadi kwenye mambo mhimu
 
wat du you mean....jmn hbu acheni kulaumu watu hakuna anyependa hya yanayotokea yatokee....sasa ukimlaumu mtu asisome course flani eti kisa non priority hzo za priority watanzania wote tungeweza kusoma jmn....na nshangaa sana hii nchi eti non priority ni masomo ya art tu....ndo maana ufisadi hautaisha kamwe tanzania rly inakatisha tamaa kabisa mbunge kupwa laki tatu kwa siku huku mtu anshindwa kwenda chuo kisa ada kwl kwl si laana hii jamn...god bless us nd utupe sote nguvu na uvumilivu kwenye kipindi hiki kigumu
 
wat du you mean....jmn hbu acheni kulaumu watu hakuna anyependa hya yanayotokea yatokee....sasa ukimlaumu mtu asisome course flani eti kisa non priority hzo za priority watanzania wote tungeweza kusoma jmn....na nshangaa sana hii nchi eti non priority ni masomo ya art tu....ndo maana ufisadi hautaisha kamwe tanzania rly inakatisha tamaa kabisa mbunge kupwa laki tatu kwa siku huku mtu anshindwa kwenda chuo kisa ada kwl kwl si laana hii jamn...god bless us nd utupe sote nguvu na uvumilivu kwenye kipindi hiki kigumu

Amen kabisaa
 
Back
Top Bottom