Mzalendo_Mkweli
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 2,025
- 1,270
Habari wana JF,
Kupitia jukwaa hili miaka miwili iliyopita nilipata mwongozo wa jinsi ya kuanzisha ujasiriamali kwa kupitia magari ya Suzuki Carry .Huu ndio ulikuwa mwongozo niliowaomba
Naomba mwongozo: Nina Suzuki Carry, nataka kumpa Dereva ambaye atakuwa akiniletea malipo kwa wiki
Kwa kupitia miongozo ya wadau nimeweza kuanza na Suzuki Carry mbili na mambo yanaenda vizuri (Mungu anasaidia).
Vuguvugu la biashara linaloendelea kwa sasa haba nchini linawafanya vijana (madereva) kupambamba sana ili kupata hesabu. Kutokana na changamoto tajwa hapo juu nimewaza kujaribu Lock-in strategy (kuingia ubia na wenye maduka: wholesalers ) ili kwa kutumia platform muafaka niwe nasambaza bidhaa zao kwa wauzaji wa rejareja (Retailers) kwa makubaliano maalum. Zaidi ya hapo nawaza kuanza kutafuta wateja mimi mwenyewe kupitia Social media kama hapa JF.
Naomba mawazo yenu ya kuunga mkono au kupinga mawazo yangu ili wengi tunufaike (wenye magari wa leo na wenye magari wa kesho)
Nawakilisha
Kupitia jukwaa hili miaka miwili iliyopita nilipata mwongozo wa jinsi ya kuanzisha ujasiriamali kwa kupitia magari ya Suzuki Carry .Huu ndio ulikuwa mwongozo niliowaomba
Naomba mwongozo: Nina Suzuki Carry, nataka kumpa Dereva ambaye atakuwa akiniletea malipo kwa wiki
Kwa kupitia miongozo ya wadau nimeweza kuanza na Suzuki Carry mbili na mambo yanaenda vizuri (Mungu anasaidia).
Vuguvugu la biashara linaloendelea kwa sasa haba nchini linawafanya vijana (madereva) kupambamba sana ili kupata hesabu. Kutokana na changamoto tajwa hapo juu nimewaza kujaribu Lock-in strategy (kuingia ubia na wenye maduka: wholesalers ) ili kwa kutumia platform muafaka niwe nasambaza bidhaa zao kwa wauzaji wa rejareja (Retailers) kwa makubaliano maalum. Zaidi ya hapo nawaza kuanza kutafuta wateja mimi mwenyewe kupitia Social media kama hapa JF.
Naomba mawazo yenu ya kuunga mkono au kupinga mawazo yangu ili wengi tunufaike (wenye magari wa leo na wenye magari wa kesho)
Nawakilisha