Msaada kuhusu biashara na mikopo..

Msaada kuhusu biashara na mikopo..

KRISTIAN P

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2013
Posts
352
Reaction score
57
Habari zenu JF mimi ni kijana nina fanya biashara nime jihajiri nina ofisini yangu naingiza laki sita kwa mwenzi kwa sasa nina mpango wa kuongeza biashara nyingine si mnajua maisha ya kibongo huwezi tegemea kitu kimoja, naombeni ushauri nataka kuchukua mkopo bank wa milioni 5 ninunue bajaji mauri vp sina deni kokote na sija wahi kukopa bank je utaratibu upo vp kama una chukua milioni tano unarejesha sh.napi kwa mwezi nina akaunti Access Bank na EXIM bank huwa na peleka mapato yangu ya kila siku kwenye hizo akaunti.
 
Habari zenu JF mimi ni kijana nina fanya biashara nime jihajiri nina ofisini yangu naingiza laki sita kwa mwenzi kwa sasa nina mpango wa kuongeza biashara nyingine si mnajua maisha ya kibongo huwezi tegemea kitu kimoja, naombeni ushauri nataka kuchukua mkopo bank wa milioni 5 ninunue bajaji mauri vp sina deni kokote na sija wahi kukopa bank je utaratibu upo vp kama una chukua milioni tano unarejesha sh.napi kwa mwezi nina akaunti Access Bank na EXIM bank huwa na peleka mapato yangu ya kila siku kwenye hizo akaunti.
Ukikopa million 5 kwa mwaka 1 kwa mkopo wenye riba ya 20% utalipa Tshs 463,172.53 kila mwezi. Na kwa miaka miwili kwa kiasi hicho hicho cha mkopo na riba utalipa Tshs 254,479.01 kwa mwezi.Kazi ni kwako!
 
Back
Top Bottom