Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
duh mkuu me nna mitumba ya kike tu ntaongezea na vitenge kama ulivosema, eti ulipigwa chuma ulete? duh wagogo hawa?inategemea nguo gani...uza vitenge ..nguo za wanawake...mi nlipga hela sana,,usimpe mtu...ukiwa ns pikipiki ni bora zaidi...wagogo wakivuna kununua vtu hawawazi....N:B:CHUNGA CHUMAULETE...NLIPIGWA MOJA IYO SITASAHAU
msimu wa mavuno kama huu..ikifika mwezi wa tisa acha..tafta mishe nyingineduh mkuu me nna mitumba ya kike tu ntaongezea na vitenge kama ulivosema, eti ulipigwa chuma ulete? duh wagogo hawa?
so uliuza msimu wa mavuno au msimu wa kawaida tu mkuu?
Je ukipeleka maeneo ya chuo vipi Mkuu hawanunui?inategemea nguo gani...uza vitenge ..nguo za wanawake...mi nlipga hela sana,,usimpe mtu...ukiwa ns pikipiki ni bora zaidi...wagogo wakivuna kununua vtu hawawazi....N:B:CHUNGA CHUMAULETE...NLIPIGWA MOJA IYO SITASAHAU
Je ukipeleka maeneo ya chuo vipi Mkuu hawanunui?
Hapana hizo nguo za wadadaVitenge ?? Tenna chuo ??