mr_politician
JF-Expert Member
- Sep 20, 2015
- 631
- 452
Habari jaman,
Naomba kueleweshwa vizuri juu ya huu utaratibu mpya wa bima za vyombo vya moto, Je?
1. bei ya bima ndogo imebadilika?
2. tunakata io bima kwa hawa hawa mawakala au ni hadi bank tuu?
Mana nimeenda bank flan nika ambiwa nilipe 85 na bank nyingine 76.
Nishazoea ya pikipiki hua nalipia 59 thirdparty, au huu mfumo mpya wa stiker za kielectronic umekuja na bei mpya?
Naomba kueleweshwa vizuri juu ya huu utaratibu mpya wa bima za vyombo vya moto, Je?
1. bei ya bima ndogo imebadilika?
2. tunakata io bima kwa hawa hawa mawakala au ni hadi bank tuu?
Mana nimeenda bank flan nika ambiwa nilipe 85 na bank nyingine 76.
Nishazoea ya pikipiki hua nalipia 59 thirdparty, au huu mfumo mpya wa stiker za kielectronic umekuja na bei mpya?