haya maswali ni zaidi ya maandishi.......ngoja na mimi nisubiriHabaru zenu...
Wataalamu naombeni msaada wenu
1.Hatua za kufungua na kufunga tairi
2.Unabonyeza wapi ili ufungue BONETI na BODI ya Gari yoyote kama
Najua humu kuna wataalamu naombeni msaada wenu wa ufafanuzi[emoji122][emoji122][emoji122]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nieleze tu japo kwa ufupiFanya Youtube iwe rafiki yako,itakusaidia kwa Mengi.
Hapa ntakupa maneno matupu,search youtube uone kwa vitendo zaidi.
Nieleze tu kiufupi....TAIRI unaanza kulegeza nati kabla hujapiga Jeki....au kwanza unapiga Jeki ndo unafungua tairi??Fanya Youtube iwe rafiki yako,itakusaidia kwa Mengi.
Nitumie title ipi kusearchHapa ntakupa maneno matupu,search youtube uone kwa vitendo zaidi.
1.How to open the bonnet(pop the hood) on your vehicle.