Nimepangiwa course programe hiyo,naomba kujuzwa kwa yeyote mwenye ufahamu,je?naweza kuchukua Chemistry/Mathematics combination,pia naomba kujuzwa ukisoma masters unaweza ukasoma kitu tofauti na education kwa kozi hii?
Nimepangiwa course programe hiyo,naomba kujuzwa kwa yeyote mwenye ufahamu,je?naweza kuchukua Chemistry/Mathematics combination,pia naomba kujuzwa ukisoma masters unaweza ukasoma kitu tofauti na education kwa kozi hii?
vinawezekana vyote so be free by meneja wa jukwaa oil sumu
kasome mkuu mm nimesoma Bsc.with ed biology and chemistry kozi ngumu acha CM inaenda vizur
Utaruhusiwa kusoma masomo mawili ya sayansi i.e physics/Chem au phy/bios, au phy/maths, au maths/chem kwa kadri ya combination yako plus Educational courses kama Curriculum, Educ.Foundation, Measurement and Evaluation,Ed. Statistics, Ed.Psychology, Teaching methodologies e.t.c kuhusu masters unaruhusiwa kwa kadri ya vigezo na masharti ya masters husika..
Nashukuru kwa mchango wenu wana Jf,now nimepata ufafanuzi wa swali langu but nakaribisha mawazo ya wengi wenye kufahamu hili...
...all the best dogo....muhimu ni determination tu